Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

aisee leo nimetembelea vijiji vingi hadi kwa yule babu wa daraja la Mungu ni noumer!!!!!!!!! Daaah nikiondoka nitapamis sana...... Keshokutwa narudi Chuga aisee!

Yule babu hayupo daraja la Mungu, pale panaitwa kijungu... some kinda pothole". Pana mauzauza pale balaa. Ulijaribu kufanya vurugu yoyote uone maji yanavyoruka juu..!?
 
Yule babu hayupo daraja la Mungu, pale panaitwa kijungu... some kinda pothole". Pana mauzauza pale balaa. Ulijaribu kufanya vurugu yoyote uone maji yanavyoruka juu..!?


Mmh hizo fix Baba V, kijungu hkn kitu wala nini, wanamagereza siku izi wanaenda kugegedana kule😜
 
Last edited by a moderator:
Yule babu hayupo daraja la Mungu, pale panaitwa kijungu... some kinda pothole". Pana mauzauza pale balaa. Ulijaribu kufanya vurugu yoyote uone maji yanavyoruka juu..!?

eti yale maji yote yanaingia kwenye kile kijungu khaa!!! Lazima nirudi tena kwa utafiti zaidi aisee..... Japokuwa wanasema yule babu ukimkwaza ukienda haurudi..... Loooh! Niliogopaaaaaa!!!
 
Mmh hizo fix Baba V, kijungu hkn kitu wala nini, wanamagereza siku izi wanaenda kugegedana kule

hahahaa..... We Jerry babu kijungu mbona yupo, nimechukua na video yake pale ila lile daraja pale ina historia ya maajabu sana aisee
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom