Nani wa kulaumiwa juu ya suala la mkopo

shule kama feza ada yao si chini ya milion 5 na mtu kasoma pale kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita lakini mtu huyo huyo eti akifika chuo naye analilia mkopo ,sasa kama sio kudeka huku kitu gan? Kwa maana utakuta ada za vyuo vingi avizidi mil 3 sasa kama alliweza kulipa zaidi ya mil 5 atashindwaje kulipa ada ambayo ni chini ya mil 3?
Walioanzisha utaratibu wa kutoa mikopo kwa wanafunzi hasa wale wenye kipato cha chini hawakukurupuka kijana. Wala lengo halikuwa kuwafanya wazazi wetu kubweteka km unavodai.

Pengine ni mawazo yako ndiyo, huenda hujaona implication ya heslb kwako binafsi. Lkn hiki c kigezo cha kugeneralize kuwa watu wasikopeshwe!

Watu wanafikiria uwezekano wa kuongeza wasomi kwa kuifanya elimu kutolipiwa ikiwezekana had elimu ya juu ww unasema hata fursa ya kukopeshwa isiwepo!!

Ukifanikiwa mwombee na jirani yako afanikiwe pia.......
 
hahaha

ndalichako kawashika villlaza pabaya.

baada ya kufeli necta na juhudi zako za kuappeal mitihani kugonga mwamba, umeamua kuhamishia hasira kwa wengine.

hakuna aliyekutuma kufeli kijana, umevuna ulichopanda.

utalia sana lakini chuo utaendelea kukisikia kwenye bomba.
 
hahaha

mkuki wa kufeli necta huwa unakuingia kama kisu cha ngariba kwa mjamzito.

wakati tunakula maharage yaliyooza shuleni na kukesha madarasani, wewe ulikuwa unafanya survey shuleni.

utajuta,

majuto mjukuu.

your time is gone.
 
Hii kitu inanchanganya pia inanichekesha sana, eti jitu limesomeshwa kuanzia chekechea mpaka six kwa pesa za mzazi wake ila jitu hilo hilo likifika chuo linalazimisha lipewe mkopo ,sasa suala la kujiuliza ikiwa mzazi wako amemudu kulipa ada na makolokocho mengine tangu upo chekechea mpaka unafika six sasa atashindwaje kuendelea kukulipia ukifika ngazi ya chuo?

Tena utakuta jitu lingine limetoka shule kama feza alafu bado linalilia mkopo hii inaingia akilini kweli?
Hapa suala sio kuilaumu serikali walaumuni wazazi wenu kwa kutojiangaisha kutafuta pesa na kuwawekea misingi imara kwenye suala elimu
Mzazi makini ni yule anayemfungulia mtoto wake account angali mdogo ili imsaidie huko mbeleni mambo ya kiyumba lakini kwa TZ hii ni wachache wenye akili hiyo


Mwisho kabisa napenda kuishauri serikali ifute kabisa kipaumbele cha mikopo, kwa maana imeandikwa asiye fanya kazi na asile

Nchi za wenzetu huu upuuzi haupo kabisa na ndio unaochangia kwa kiasi kikubwa watu kutojiangaisha kutafuta pesa ya kusomesha watoto kwa kutegemea mikopo kutoka serikalini
hawa kula kulala wanashida sana wakishashiba!
 
ha ha ha pole sana
unajichekesha!??

hahaha

najua moyoni unalia machozi ya damu, najua unatamani wakati urudi nyuma walau u revise topics.

muda umeenda, tunachanja mbuga sisi.

we endelea kulia na kujuta.

you wasted your opportunity.

utalia sana.
 
umebaki kujichekesha tu kama taahira,

angalia tu fursa zingine za kufanya mkuu, kwasababu unazidi kupoteza muda tu.
 
In Internet slang, a troll (/ˈtroʊl/, /ˈtrɒl/) is a person who sows discord on the Internet by starting arguments or upsetting people, by posting inflammatory,[1] extraneous, or off-topic messages in an online community (such as a newsgroup, forum,chat room, or blog) with the deliberate intent of provoking readers into an emotional response[2] or of otherwise disrupting normal on-topic discussion,[3] often for their own amusement.

Jamani mnapo mmjibu ndo mnazidi kumfurahisha...we pita tu alafu uone kama ataendelea.
 
kama maskini mbona wameweza kusomesha watoto zao tangu chekechea iweje washindwe kusomesha wakishafika chuo? Huko ni kuidekea serikali na kutafuta lawama zisizokuwa za msingi na serikali ishaamka sasa hivi ndio maana wameanza kuweka vigingi kila kona ili mpunguze kudeka deka hovyo
 
kama maskini mbona wameweza kusomesha watoto zao tangu chekechea iweje washindwe kusomesha wakishafika chuo? Huko ni kuidekea serikali na kutafuta lawama zisizokuwa za msingi na serikali ishaamka sasa hivi ndio maana wameanza kuweka vigingi kila kona ili mpunguze kudeka deka hovyo
 
shule kama feza ada yao si chini ya milion 5 na mtu kasoma pale kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita lakini mtu huyo huyo eti akifika chuo naye analilia mkopo ,sasa kama sio kudeka huku kitu gan? Kwa maana utakuta ada za vyuo vingi avizidi mil 3 sasa kama alliweza kulipa zaidi ya mil 5 atashindwaje kulipa ada ambayo ni chini ya mil 3?
yawezekana sio kosa lako.
 
huyu ni kimtu fulani hivi kilifeli necta.

nakijua.

na nashangaa kwanini vinyuzi vyake vinapewa airtime na moderators.
 
Nimejikuta nashangaa tu kama mtu anaweza kuanzisha uzi kama huu!
 
1475413335949.jpg
 
, unajua nini Meki kubishana na wewe nitakuwa mjinga maana najua IQ yako ndogo sana

Ushauri:fanya haya

1: kula sana spinach
2:ndizi
3:machungwa
4: nyanya
5: karanga
6: Apple
7:chocolate
8:parachichi
9:zabibu
10:kunywa maji ya kutosha
11: maziwa
12:mayai ya kienyeji
13: fanya mazoezi
Alafu cha mwisho acha kabisa kuangalia video za ngono ndizo zinazochangia kukuharibu

Huu ndio ushauri pekee ninaokupa kwa maana hamna namna ya kukusaidia zaidi ya hivi
hahaha

ukweli umekuingia mpaka kwenye mifupa.

the truth hurts more than a sword.

mimi nilishafaulu necta, nina amani zote moyoni.

sasa wewe ndugu yangu uliyefeli sijui itakuwaje.

ungeanza kula wewe hivyo vyakula nadhani usingejaza midoli kwenye booklets.

hahaha utaweweseka sana, wakati haurudi nyuma.

your time is gone, it wont come back again.
 
umebaki kujichekesha tu na kujipendekeza kwenye comments ambazo zinakutia moyo.

kwangu ni misumari tu, nakugonga nyundo za uso bila huruma.

naomba unijibu hili swali,

ulishamaliza ku appeal matokeo yako?
 
Back
Top Bottom