Furaha ya kumaliza malipo ya mkopo wa elimu ya juu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,280
1674020876322.png
Kwa wale wanaoona tarakimu za makato ya mkopo wa elimu ya juu wanaelewa faraja ya kumaliza mkopo juu.

Kwakeli wale waliochelewa kujiunga na elimu ya juu wanaulipa mpaka miaka ya kukaribia kustaafu. Infewezekana kusamehe wa miaka 50+ iliwaanze kujiandaa na maisha ya kustaafu.

Kuna wana aga dunia wakiacha deni Hilo. Kwakua uchumiwa nchi zinazoendelea bado ni mchanga kusamehe deni ni ndoto.

Mikopo hukatisha ndoto za wengi kujiunga na elimu na tunakosa wataalamu wapya. Familia za TASAFU zingepewa bursary. Bursary ni pesa isiyo na malipo.

Mikopo isamehewe kwa 50+ au bursary itolewe kwa familia zenye maisha ya chini kabisa?
 
Haina haja, wanapin taarifa zako especially NIDA number, kwa hiyo ukinunua kiwanja au ukiajiriwa tu hawa hapa.
Yaani mimi nisome kwa tabu hivi halafu niende kuajiriwa, nimerogwa? Yaani niwe nimemtesekea mtu, aje anifaidi kiulaini tu?! Nimemaliza miaka zaidi 10 iliyopita, na sijawahi kuomba kazi, na viwanja nanunua kila siku, na sijawahi kuwaona
 
Yaani mimi nisome kwa tabu hivi halafu niende kuajiriwa, nimerogwa? Yaani niwe nimemtesekea mtu, aje anifaidi kiulaini tu?! Nimemaliza miaka zaidi 10 iliyopita, na sijawahi kuomba kazi, na viwanja nanunua kila siku, na sijawahi kuwaona
Watakuja tu when you least expected
 
siyo Bongo hii mzee, nawajua watu toka 2006 wanadunda mpaka leo hii, wamejiajiri wamejenga na hawajarudisha hata senti moja ( mie nikiwa mmoja wapo )
pesa ya bodi ilitakiwa iwe bure, siyo mkopo, PUMBAV wao wasome bure mimi nilipe ?
Kuna nchi wanatoa mikopo ili wanafunzi wawe na wajibu kwani wengi wanaamini ukianza elimu ya juu unapewa hela ya kulia bata
 
Ukiwa kwenye mfumo wa kulipa lipa..Usipobanwa na mfumo..well..busara zitakuongoza..
 
Yaani hii pesa sijawahi kupata wazo la kulipa hata siku moja.
Kwanza huwa inanipa faraja Kama ni sehemu ya gawio langu kwenye keki ya taifa, maana wanasiasa wanaziiba zaidi ya hizo.
 
Back
Top Bottom