Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,148
- 137,142
Unanicheka eh? 😀
Unanicheka eh? 😀
Wanawake wa Kitanga jau sana, Kuna kipindi walikuwa wanaingia Zanzibar kupitia kule Nungwi kwa kutumia majahazi aisee waliteka Waume za watu wale Wavuvi unakuta Mtu kavua samaki la kilo hata 100 anaenda kuuza kwenye mahotel ya Watalii anaenda kupumzika kwa Majimama ya Kitanga Wiki mbili nguo hazikauki na anaogeshwa na anabebwa mgongoni. Alafu huyo mvuvi ana familia na familia inakufa njaa Yeye anakuwa ametekwa na Mwanamke wa Kitanga.
Hawafai wale Viumbe![]()



Unanicheka eh?![]()
😂😂😂Asante Luca!Mimi humu ephen ndio kanishika kuta zote za moyo wangu.
Miss you more Goddess.Na nimekumiss pia Anko Juju
Miss you more Goddess.
Zamani nilikuwa mtundu sana aisee.





Asante ndugu yangu wa Wazee wa kupeleka Motoo!💚💛🔥Hawa apa
Dr Lizzy
Mshana Jr
Pretty
AshaDii
Amyner
sweetlady
Rose1980
JS
DaMie
Mrembo
Depal
Evelyn Salt
Manyanza
Kalpana
Jadda
Nyani Ngabu
cocochanel
Maxence Melo
Husninyo
Grahams
Tresor Mandala
Niongeza ni To yeye na mshamba_hachekwi , Raine Col , ephen_ Leejay49 , Selikavu
Ukiona haupo ujue unadaiwa Afu 3 na ukikosa kwenye list ya baadae ujue wewe ni ombaomba
Hawa ndio ninaowakubali sana humu ndani since 2011 hapo baadae ntaongeza list nyingine ya Gen v
I knoww. 😀Kama Wewe ni mweupee utachukua zaidi ya mmoja ? Muulize Nyani Ngabu
Da'VinciMimi chamkosi humu jf sijawah kua tagged anywhere...
But my favorite ni huyu
View attachment 2940467
Anayekuvutia au unamuheshimu.Ku admire maana ake nini ?
Wow!5 and a half! 😆😆
Oooh aisee mie nawaheshimu members wote wa humuAnayekuvutia au unamuheshimu.
Lakini kuna id ukiziona unasikia raha hata comments zao lazima ipo hata moja😂Oooh aisee mie nawaheshimu members wote wa humu
What an offer!😀Siku ukipita pande hizi usihofu pa kufikia. Executive room ni ya kwako 😉😀.
Free WiFi, complimentary breakfast, spa, very cordial and professional staff, and for good measure, the real Nzagamba is on speed dial 🤣.
View attachment 2940578
Ninao ila wamebaki wachache. Kuna kipindi niliwauza ndo nikapata mtaji wa kujengea Nzagamba Ya Migato Guest House.What an offer!😀
Sema sasa kuna mawili...
I might be falling into a goldmine or a trap. Let me mull it over before I hop on the next Happy Nation . 😁
PS
Wale ng'ombe wako bado unao au ushauza wote??