Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Mimi Niko kwenye mawaziri.
Nampenda Sana Dk Gwajima, sio kwa shepu yake Bali kwa mbwembwe zake na utendaji wake wa kazi.
Jamani simpendi Jenista, hajawahi kunikosea Ila Basi tu, nikimuona mu tiivii nabadilisha chaneli mpaka aondoke. Mwingine nisiyempenda Ni Nape na mwenezi. Hawajanikosea sema damu zetu haziendani.
Apo kwa gwajima naunga mkono hoja
 
Mi nakua wa kwanza kusema nnaowadmire ni wengi kuliko wanaonishangaza...kwahiyo hawa ntawataja baadae!Anaeniboaga ni NN au Nyani Ngabu ukipenda...yani mshkaji ye michango yake mingi inaashiriabye anajiona ni bora kuliko!Kila kitu anajua yeye...na kila mtu amsikilize yeye.Kama tungekua tunaongea kwa sauti ningesema ni mmoja wa wale watu wasionyamazaga na kumuacha mwingine aongee.Hata kama hajui kitu atajifanya na kungania anajua!
😂😂😂😂😂 nimecheka mpk nimekohoa sijui ndio kupaliwa
 
Halafu Dr Lizzy joining yako SI 2009 hapo 😂, tz SI ilikuwa ishakuwa connected jamani.

Beside nilikuwa natumia black berry bold mzee ali niachia, kuhusu internet kulikuwa na cafe maeneo ya home,

Hiyo cafe ilikuwa na computer 3 zile za kisogo Kama ma tv, Nime zulula Sana pale.
TRUE! 👊🏾👊🏾

Ila mi nilikuwepo tokea '06 ikiwa Jambo Forums. Not sure what happened to my first ID.
 
Manyanza na Dr Lizzy mi naomba kuuliza, why huwa niki ji distance kutoka kwa watu baadhi.

Hao watu Wana geuka haters aisee??, hakuna conflict, ila una shangaa kijana ana lipuka tu??
Sijui Kijana jinsi ulivyoseti standard zako humu JF maana nyinyi Vijana huwa mna mambo magumu sana 😂😂😂
 
Back
Top Bottom