We ni admaye mimi, angalau niwe na admayiwa na mimiuzi wa siku nyingi sana. Mlio admayana mmesha boana siku nyingiii, mshaingiza maingizo mapyaa. Mm bado natafta wa kum admaya
Hahahahahaha...duhLakini kuna id ukiziona unasikia raha hata comments zao lazima ipo hata moja😂
Ahahaha..usitake kunambia umeingia mtegoni kutu merge,😂😂😂.Shekhe yuleyule tofauti kanzu.
Atakuja kukujibu😂Ahahaha..usitake kunambia umeingia mtegoni kutu merge,😂😂😂.
Bif mistake
😂😂😂😂😂Wow!
You were a baby….still wet behind the ears. Not even in first grade. Just a kindergartener 🤣.
But look at you now. Flying high, with a PhD. in tow 😉.
Btw, where did you obtain your PhD from? Uppsala University? [only the OGs would know about this].
That’s the babygal I know! She is one of one😉.😂😂😂😂😂
That's why I had a 'daddy in the house, and he always came through! 😉
Well, you got me there!😁😁
Let's just say, that information is classified, aight. But hey, honors graduate right here!✋🏾😉
Kumbe upo mkuuThat’s the babygal I know! She is one of one.
Ahahah..Baada ya ku logout na kulogin tena au sio? 😂.Atakuja kukujibu😂
Nitaamini vipi akati joined yako 2023 miakq 5 imetoka wapi!?😂Ahahah..Baada ya ku logout na kulogin tena au sio? 😂.
Huyo kijana ni mdogo angu sana. Tumekua tukiyajenga mambo mengi sana nje ya hapa for over 5 years now
Ahahahah.. sasa ephen_ mbona unakua kama mgeni wa huu msitu mnene mdogo angu?😂😂.Nitaamini vipi akati joined yako 2023 miakq 5 imetoka wapi!?😂
Akikujibu unitag sababu unayemuadmire wewe kumbe na yeye anamuadmire mwingine!
GG ni chache sana.
Aiseeee! Kwahiyo id ya zamani unaitelekeza au unaenda nazo zote?Ahahahah.. sasa ephen_ mbona unakua kama mgeni wa huu msitu mnene mdogo angu?😂😂.
mimi kila baada ya 1 year na come up with identity, ona sasa nimekutobolea siri 😅.
Hata hii ndio inaelekea ku expire ikifika April, not anywhere to be seen
Ahahaha, id za mishughuliko kama hiz ambazo mara umetukana mtubmara umezingua hiv mara vile kama hii, hiz huwa nazi abandon kabisaa so nafungua mpya ambayo validity yake ni 1 year.Aiseeee! Kwahiyo id ya zamani unaitelekeza au unaenda nazo zote?
Na mimi nataka unifundishe huo ujanja ili niende sambamba😂
Daaah!😂 na kila id ina demu wakeAhahaha, id za mishughuliko kama hiz ambazo mara umetukana mtubmara umezingua hiv mara vile kama hii, hiz huwa nazi abandon kabisaa so nafungua mpya ambayo validity yake ni 1 year.
mbali na hii na maintain zingine 2 ambazo hata iweje siwez ziacha kwasababu zina shughul mahsusi kabisa
maana huwez omba ushauri serious au mawazo mbadala yanayohus mustakabali wa maisha yako halisi kwa kutumia Id hii ambayo mara umeshabikia misambwanda, mara umetoa shuhuda za kula kimasikhara, mara umekula mke wa mtu n.k
- ya kwanza ni kwa ajili ya biashara ambako huko hata contacts zangu ziko. Hii inaongelea kazi/biashara tu .ni mwendo wa service adverts tu.
- ya pili ni kwa ajili ya mambo ya msingi, kuomba ushauri serious na ku seek out connections.
Wana JF badala ya kukushauri wanakufukulia makaburi yako ,uzi unaharibika 😂😂😂
Hapana, huwa si mix ishu za ma manzi, na enjoy kuwa hiv zaid. Ujue ukiwa na demu humu hauwi huru😂😂Daaah!😂 na kila id ina demu wake
Mimi siwezi hizo mambo za multiple... naweza changanya mafile
Kuanzia sasa nitaanza kua makini na id zinazoweka namba za simu sanasana zinazohusu mambo ya teknologia za wazungu.
Unasema hivo kwa sababu umeoaHapana, huwa si mix ishu za ma manzi, na enjoy kuwa hiv zaid. Ujue ukiwa na demu humu hauwi huru😂😂
Unantishia tu, nshakuambia npunguzie hiyo gharama wala hautaki ....😁Evelyn Salt ntafanya juu chini
Kwa ghalama yoyote😁
Sasa huyo ni mtani wangu sana sema tu akashindwa kunijua mpaka baada ya kubadil chaka ndio maana huwa namtania sana 😂😂.but Is a gud personUnasema hivo kwa sababu umeoa
Ingekua sio ungeshangaa unaruka hata na Uniki flawa