Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Kaka Mwaka Jana, nilikuwa mtaa wa barabara ya 15 kule.

Aisee ili Baki kidogo tu, wangekuta Nisha oa kule😂, maana chakula kizuri na ndo ugonjwa wangu🤣
Ukioa kule Wewe hufanyi kazi , kazi yako ni kula tunda tu. Mkeo anapika maandazi na kuuza Wewe umekaa pembeni na msuli na vesti kwenye kiti umekunja nne tu. Maisha mabovu sana yale
 
Ukioa kule Wewe hufanyi kazi , kazi yako ni kula tunda tu. Mkeo anapika maandazi na kuuza Wewe umekaa pembeni na msuli na vesti kwenye kiti umekunja nne tu. Maisha mabovu sana yale
Kaka namleta huku , Kuna manzi ya tanga sema kaolewa 🤓.

Aisee ili tokea ghafla Sana, ila kwa idhini ya mola tuta oa kule,🤒
 
Wanawake wa Kitanga jau sana, Kuna kipindi walikuwa wanaingia Zanzibar kupitia kule Nungwi kwa kutumia majahazi aisee waliteka Waume za watu wale Wavuvi unakuta Mtu kavua samaki la kilo hata 100 anaenda kuuza kwenye mahotel ya Watalii anaenda kupumzika kwa Majimama ya Kitanga Wiki mbili nguo hazikauki na anaogeshwa na anabebwa mgongoni. Alafu huyo mvuvi ana familia na familia inakufa njaa Yeye anakuwa ametekwa na Mwanamke wa Kitanga.
Hawafai wale Viumbe 😂😂😂
 
Wanawake wa Kitanga jau sana, Kuna kipindi walikuwa wanaingia Zanzibar kupitia kule Nungwi kwa kutumia majahazi aisee waliteka Waume za watu wale Wavuvi unakuta Mtu kavua samaki la kilo hata 100 anaenda kuuza kwenye mahotel ya Watalii anaenda kupumzika kwa Majimama ya Kitanga Wiki mbili nguo hazikauki na anaogeshwa na anabebwa mgongoni. Alafu huyo mvuvi ana familia na familia inakufa njaa Yeye anakuwa ametekwa na Mwanamke wa Kitanga.
Hawafai wale Viumbe 😂😂😂
Kaka wale ni balaa🤓🤣, ila Kuna viumbe wame tulia na Wana faa kwa kula🤓
 
Hata majina enzi hizo yalikua yakibunifu haswa.
Siku hizi Kuna mtu anajiita inamankusweke
Siku hizi sio majina alias Tena, Ni majina halisi na namba za simu.
Siku hizi tendo la ndoa linatajwa kwa jina lake ah, where are we heading in this platform?
 
Mshaanza wenye nzagamba zenu.
Siku ukipita pande hizi usihofu pa kufikia. Executive room ni ya kwako 😉😀.

Free WiFi, complimentary breakfast, spa, very cordial and professional staff, and for good measure, the real Nzagamba is on speed dial 🤣, should you need his assistance.

IMG_2302.jpeg
 
Back
Top Bottom