Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Aisee white au maji ya kunde, ndo best form zangu 🤓😂.

Siku niki enda Tena tanga,tuongozane ili ubadilishe kauli 🤓
Waja Leo waondoka leo nilishawahi kwenda pale kwenye harusi ya Dada yake demu wa Mshikaji wangu halafu Mshikaji alikuwa hapendwi na Wazazi wa yule demu yaani tulikuwa kama Wazamiaji kwenye ile harusi. 😂
 
Huu uziulianzishwa enzi hizo watoto bado walikua shule.
Kipindi hicho kulikua hakuna viroboto a.k.a chawa Kama
Lucas mwashambwa
ChoiceVariable
Elitwege
Etwege

Kipindi hicho hakuna kusifia ubadhirifu wa pesa za umma.
Watu wa Mbeya humu jf ilikua niwale cream, watu wsnaonjielewa Kama @bujibujisimbanyanaume na wengine wachache wenye akili.
Kulikuwa na Mwamba wa huko Mbeya alikuwa anajiita mikatabafeki sijui naye yuko wapi? Nilishawahi kutana nae pande za Iringa kule sana maji ya dhahabu.
 
Hawa apa
Dr Lizzy
Pretty
AshaDii
Amyner
sweetlady
Rose1980
JS
DaMie
Mrembo
Depal
Evelyn Salt
Manyanza
Kalpana
Jadda
Nyani Ngabu
cocochanel
Maxence Melo
Husninyo
Grahams
Tresor Mandala

Niongeza ni To yeye na mshamba_hachekwi , Raine Col , ephen_ Leejay49 , Selikavu
Ukiona haupo ujue unadaiwa Afu 3 na ukikosa kwenye list ya baadae ujue wewe ni ombaomba
Hawa ndio ninaowakubali sana humu ndani since 2011 hapo baadae ntaongeza list nyingine ya Gen v
I admire you silently Mkuu 🙏😊
 
Waja Leo waondoka leo nilishawahi kwenda pale kwenye harusi ya Dada yake demu wa Mshikaji wangu halafu Mshikaji alikuwa hapendwi na Wazazi wa yule demu yaani tulikuwa kama Wazamiaji kwenye ile harusi. 😂
Kaka Mwaka Jana, nilikuwa mtaa wa barabara ya 15 kule.

Aisee ili Baki kidogo tu, wangekuta Nisha oa kule😂, maana chakula kizuri na ndo ugonjwa wangu🤣
 
Mimi humu ephen ndio kanishika kuta zote za moyo wangu.
FB_IMG_17109518456050362.jpg
 
Back
Top Bottom