Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,979
- 142,218
Nimekusoma hapo kweli Asha D atathibitisha ngoja Lizzy aone
Dena Amsi
Nimekusoma hapo kweli Asha D atathibitisha ngoja Lizzy aone
Dena Amsi
Abeeee
Hujambo mama?
Wakaka pia Sipirino,Kuloro,Mbu,DC,BAK,NN,Pakajimmy,wapi Fidel...?
na bila kumsahau Mzee Mzima Mwanakijiji
Aaaargh Lizzy asikushtue sana. Lizzy siku akikosa PM yangu anakuwa anaropokwa tu hata haelewi anaongea nini! Siku ukiona Lizzy anaongea mapointi basi ujue siku hiyo Klorokwini kamPM Lizzy. Asha D atathibitisha hili
Sijambo kabisa wewe je??
Kloro unajua umeniweka pabaya... you know mimi niko upande wa CPU daima - alafu unatoa siri.... acha kuniuzia case!
Nimekusoma hapo kweli Asha D atathibitisha ngoja Lizzy aone
Miye buheri wa siha njema kabisa. Namshukuru Manani kwa kuniwezesha kukutiamachoni siku kama ya leo.
Ha ha ha hata mie nafurahi kuku....................
Hapo Lizzy akiona sio shida Dena... shida ipo akiona mhusika wa Lizzy.....:A S 39:
Eeewaaa eeewaaa...kumbe na wewe unafurahi eeeh? Swaaafi sana.
Why lie (Wallai) ukisikia mkosi ndo huu
Khaaa! Mwanzo wa uzi mpaka page 15 hakuna anenipanda wala kunchukia????!!
MMMH.............
Newei, mi kuna watu nawakubali sana hapa
MJ1,AshaD,Mitch,Gaijin,sijamsoma siku nyingi...huwa mnadondosha midude yaukweli
Wakaka pia Sipirino,Kuloro,Mbu,DC,BAK,NN,Pakajimmy,wapi Fidel...?
na bila kumsahau Mzee Mzima Mwanakijiji
Sichukii m2 humu ndani so nawapenda wengine woooote
because I always learn a lot from you guys.
Nimefurahi sana nakutakia siku njema basi....
Kumbe muoga wewe Lizzy sijui kaenda wapi
Wewe huyo tena ndo balaa acha kabisa
Why lie (Wallai) ukisikia mkosi ndo huu
Khaaa! Mwanzo wa uzi mpaka page 15 hakuna anenipanda wala kunchukia????!!
MMMH.............
Newei, mi kuna watu nawakubali sana hapa
MJ1,AshaD,Mitch,Gaijin,sijamsoma siku nyingi...huwa mnadondosha midude yaukweli
Wakaka pia Sipirino,Kuloro,Mbu,DC,BAK,NN,Pakajimmy,wapi Fidel...?
na bila kumsahau Mzee Mzima Mwanakijiji
Sichukii m2 humu ndani so nawapenda wengine woooote
because I always learn a lot from you guys.