Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Wachakachuaji wote siwapendi...Hata mkikasirika sijali maana uchakachuaji ni kosa la jinai kwenye kitabu changu hivyo naomba mbadilike!!Kuhusu mimi kua mshiriki NAKANA kwa herufi kubwa....kuna mtu nilimwazima ID yangu aangalie picha kule kwenye picha sasa naona ishakua tabu!!<br />
<br />
Asanteni!!<br />
<br />
PS Kloro cafe ya mjomba wangu kwahiyo siwezi ishiwa!!!
<br />
<br />
Dah we mkali sana umekwepa kiutu uzima sana
 
So far ninawa-admire members wote wa JF. Bado sijakutana na anayeniboa. Of course, wako ambao tunatofautiana kimawazo na kifikra, but that is part of our lives. Binadamu wote sio sawa na hatuko perfect. Pia bila tofauti zetu JF, isingekuwa hapa ilipo. Nafikiri badala ya disapprove of, kuwa disgusted with or kutompenda mtu kwa mambo anayofanya, tupendane kama wanaJF. Kama kwenye article moja iliyowekwa na Mwanakijiji hapa kutoka huko Kenya inavyosema: "While in Kenya community forums are divided in party and ethnic affiliations and mostly you will find major part of communications in vernacular, in Tanzania [JF] they are united in purpose. Kwa hiyo nadhani tuzingatie hili zaidi kwa manufaa ya taifa letu.

Baada ya kusema hayo, wapo wadau wengi sana ninaowa-admire. Kuwataja hapa wote would be like fighting a loosing battle. Kwanza kabisa ninawa-admire waanzilishi wa JF na wale wote waliokaa chini kufikiria hii idea. Sio kazi rahisi kuendesha forum kama hii. Inahitaji commitment, motivation and dedication. We will be indebted to Max and his Cos for the rest of our lives. What they have done is incredible. Labda cha kufanya ni kuwa-motivate na kuwa-support kadiri ya uwezo wetu. JF is starting having an impact in the lives of many Tanzanians. JF is "giving government sleepless night": The Tanzanian Online Community Forum Giving the Government Sleepless Nights | Tech Mtaa

Pili nina-wadmire moderators na Invincible kwa kazi wanayoifanya. Wanafanya kazi ngumu sana ambayo mara kwa mara tunakwaruzana nao. Ni vigumu kuwaridhisha members wote lakini naamini kabisa kuwa wanamoderate JF kwa faida yetu sote.

Tatu, ninawa-admire watu walionishawishi nijiunge na JF mwaka jana. Kabla ya hapo nilikuwa nasoma tuu posts za watu bila kuchangia. Moja ya watu walioni-influence kujiunga na JF ni Kiranga. To be honest, I like his posts. He analyses issue by looking on both sides of the coins. Ana tendency ya kuchangia only in threads where there is an issue to discuss. So, you won't see him ni many threads. Probably, I will say he is one of the most underrated member at JF. Pia ninapenda kusoma threads and posts za Mwanakijiji na kabla ya ku-reply posts zake inabidi nizisome kama mara tatu hivi. He makes me think out of the box.

Nne, ninawa-admire wale wanaotumia majina yako kamili. Wapo ambao tayari wanajulikana na jamii, so kutumia ID tofauti hai-make change. Lakini pia wapo ambao they don't hold positions in the society but they have the courage of using their real names. Nina-wadmire sana hawa watu bearing in mind that JF is a place where were dare to talk openly. Mmeona juzi tuu jinsi watu walivyomtenda Max japokuwa ni JF founder. Credit ziwaendee Mohamed Shosi na wengine.

Tano, kuna watu wengi sana wanaonivutia kwenye posts zao na it is impossible to mention all of them here. Nina-waadmire sana Michele, Dena Amsi na Lizzy. I like the way wanavyo-defend their point of of view. Pia Michelle huwa anatoa ushauri mzuri sana kwenye jukwaa la MMU. Ananifanya nimkumbuke sana shangazi yangu mmoja. Dena Amsi nakumbuka sana ile PM yako nilipojiunga na JF na kuuliza tofauti kati Premier member na Expert Member. Maana kwa zile replies nilizopata toka kwa wadau labda nisingekuwa hapa. Lizzy, you must be an incredible woman even to dare to start this thread.

Ninawa-admire PakaJimmy, Rose1980, Mwanajamiione, Afrodenzi, Gaga, Rev Fr Masanilo (you're economic kwenye posts zako), Saint Ivuga, Katavi, Tamno, Allien (respect mkuu), Pasco, Husninyo, NILHAM RASHED, Bujibuji, BelindaJacob, First Lady1, CPU, Steve Dii, Klorokwin na ndugu ya Aprin, Dark City, MTM, LD, Bubu Ataka Kusema, Fidel80, WomanofSubstance, Kaka Mpendwa, The Finest, PDidiy, Nyani Ngabu (plus your other 50 IDs. hehe), The Boss, Gaijin, Superman, Nemo, Maria Roza, Kaizer, just to mention the few. Special admiration to Askari kanzu, Nonda, Eqlypz and your Cos for keeping the International Forum active na Mtazamaji hasa kwenye posts zake za mambo ya technology. Bila kuwasahau controversial members FaizaFoxy, Mertyna na Not Enough.

Ninamwa-admire Nyumba Kubwa. Mara nyingi wakati tujajadili thread huwa tun-argue theoretically. Lakini Nyuma Kubwa likes to bring in her personal experience on the issue. I like that as it gives us a practical perspective on the issue.

Then, kuna huyu member mpya who entered JF by storm. Within a very short time, she has become one of the most popular members at JF. Sio mini tuu, nafikiri wadau wengi wanapenda sana michango yake. She has brought in new perspectives. Her name is Asha D. I have to admit that it has been a privilege to read your posts.

Wapo wengine huwa wanaingia humu kwa msimu lakini I have learned a lot from their posts. People like Mbu. Credit kwa ile thread ya "Mtaji wa Milioni 10" na wale wote waliochangia. A lot of people will learn from it: https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/28270-mtaji-10-million.html. Pia Fundi mchundo kwa post zake hasa kwenye masuala ya ujenzi kama hapa: https://www.jamiiforums.com/busines...75026-gharama-za-kujenga-nyumba-tanzania.html

Kwa kweli wapo watu wengi sana ninaowa-admire sitaweza kuwataja wote. Labda niseme tuu nawapenda wanaJF wote regardless of your different views or clashes hapa JF. I have learnt a lot from you guys. I ove you all.

Asante sana EMT.....
Unakubalika kama unavyotukubali!!:grouphug:
 
Ok sasa turudi kwenye mada! waambie basi kama unanipenda bana

Nakupenda kidada dada!!:dance:

<br />
<br />
Dah we mkali sana umekwepa kiutu uzima sana

Hahahaha....huo ndo ukweli bwana!!Naomba maswali yatakayonisukuma nichakachue thread yanifikie PM tafadhalini!!

:A S-rose: Partner me love you yesterday, today, tomorrow and ever......:A S-rose:


Thank you partner!!:A S-rose:
 
So far ninawa-admire members wote wa JF. Bado sijakutana na anayeniboa. Of course, wako ambao tunatofautiana kimawazo na kifikra, but that is part of our lives. Binadamu wote sio sawa na hatuko perfect. Pia bila tofauti zetu JF, isingekuwa hapa ilipo. Nafikiri badala ya disapprove of, kuwa disgusted with or kutompenda mtu kwa mambo anayofanya, tupendane kama wanaJF. Kama kwenye article moja iliyowekwa na Mwanakijiji hapa kutoka huko Kenya inavyosema: “While in Kenya community forums are divided in party and ethnic affiliations and mostly you will find major part of communications in vernacular, in Tanzania [JF] they are united in purpose. Kwa hiyo nadhani tuzingatie hili zaidi kwa manufaa ya taifa letu.

Baada ya kusema hayo, wapo wadau wengi sana ninaowa-admire. Kuwataja hapa wote would be like fighting a loosing battle. Kwanza kabisa ninawa-admire waanzilishi wa JF na wale wote waliokaa chini kufikiria hii idea. Sio kazi rahisi kuendesha forum kama hii. Inahitaji commitment, motivation and dedication. We will be indebted to Max and his Cos for the rest of our lives. What they have done is incredible. Labda cha kufanya ni kuwa-motivate na kuwa-support kadiri ya uwezo wetu. JF is starting having an impact in the lives of many Tanzanians. JF is “giving government sleepless night”: The Tanzanian Online Community Forum Giving the Government Sleepless Nights | Tech Mtaa

Pili nina-wadmire moderators na Invincible kwa kazi wanayoifanya. Wanafanya kazi ngumu sana ambayo mara kwa mara tunakwaruzana nao. Ni vigumu kuwaridhisha members wote lakini naamini kabisa kuwa wanamoderate JF kwa faida yetu sote.

Tatu, ninawa-admire watu walionishawishi nijiunge na JF mwaka jana. Kabla ya hapo nilikuwa nasoma tuu posts za watu bila kuchangia. Moja ya watu walioni-influence kujiunga na JF ni Kiranga. To be honest, I like his posts. He analyses issue by looking on both sides of the coins. Ana tendency ya kuchangia only in threads where there is an issue to discuss. So, you won't see him ni many threads. Probably, I will say he is one of the most underrated member at JF. Pia ninapenda kusoma threads and posts za Mwanakijiji na kabla ya ku-reply posts zake inabidi nizisome kama mara tatu hivi. He makes me think out of the box.

Nne, ninawa-admire wale wanaotumia majina yako kamili. Wapo ambao tayari wanajulikana na jamii, so kutumia ID tofauti hai-make change. Lakini pia wapo ambao they don’t hold positions in the society but they have the courage of using their real names. Nina-wadmire sana hawa watu bearing in mind that JF is a place where were dare to talk openly. Mmeona juzi tuu jinsi watu walivyomtenda Max japokuwa ni JF founder. Credit ziwaendee Mohamed Shosi na wengine.

Tano, kuna watu wengi sana wanaonivutia kwenye posts zao na it is impossible to mention all of them here. Nina-waadmire sana Michele, Dena Amsi na Lizzy. I like the way wanavyo-defend their point of of view. Pia Michelle huwa anatoa ushauri mzuri sana kwenye jukwaa la MMU. Ananifanya nimkumbuke sana shangazi yangu mmoja. Dena Amsi nakumbuka sana ile PM yako nilipojiunga na JF na kuuliza tofauti kati Premier member na Expert Member. Maana kwa zile replies nilizopata toka kwa wadau labda nisingekuwa hapa. Lizzy, you must be an incredible woman even to dare to start this thread.

Ninawa-admire PakaJimmy, Rose1980, Mwanajamiione, Afrodenzi, Gaga, Rev Fr Masanilo (you’re economic kwenye posts zako), Saint Ivuga, Katavi, Tamno, Allien (respect mkuu), Pasco, Husninyo, NILHAM RASHED, Bujibuji, BelindaJacob, First Lady1, CPU, Steve Dii, Klorokwin na ndugu ya Aprin, Dark City, MTM, LD, Bubu Ataka Kusema, Fidel80, WomanofSubstance, Kaka Mpendwa, The Finest, PDidiy, Nyani Ngabu (plus your other 50 IDs. hehe), The Boss, Gaijin, Superman, Nemo, Maria Roza, Kaizer, just to mention the few. Special admiration to Askari kanzu, Nonda, Eqlypz and your Cos for keeping the International Forum active na Mtazamaji hasa kwenye posts zake za mambo ya technology. Bila kuwasahau controversial members kama akina FaizaFoxy, Mertyna na Not Enough.

Ninamwa-admire Nyumba Kubwa. Mara nyingi wakati tujajadili thread huwa tun-argue theoretically. Lakini Nyuma Kubwa likes to bring in her personal experience on the issue. I like that as it gives us a practical perspective on the issue.

Then, kuna huyu member mpya who entered JF by storm. Within a very short time, she has become one of the most popular members at JF. Sio mimi tuu, nafikiri wadau wengi wanapenda sana michango yake. She has brought in new perspectives. Her name is Asha D. I have to admit that it has been a privilege to read your posts.

Wapo wengine huwa wanaingia humu kwa msimu lakini I have learned a lot from their posts. People like Mbu. Credit kwa ile thread ya "Mtaji wa Milioni 10" na wale wote waliochangia. A lot of people will learn from it: https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/28270-mtaji-10-million.html. Pia Fundi mchundo kwa post zake hasa kwenye masuala ya ujenzi kama hapa: https://www.jamiiforums.com/busines...75026-gharama-za-kujenga-nyumba-tanzania.html

Kwa kweli wapo watu wengi sana ninaowa-admire sitaweza kuwataja wote. Labda niseme tuu nawapenda wanaJF wote regardless of our different views or clashes hapa JF. I have learnt a lot from you guys. I ove you all.

kwa hii makala ilivyotulia tu basi You deserve the best than the rest mkuu. Pamoja sana na ubarikiwe.
 
I'm here darling....what can i do for you?:A S 103:

Nakumiss sauti yako balaa, basi tu hujui nilivyokuangukia . . . . unaninyanyapaa kimtandao
Nasikiliza ka-music kangu hapa

Sweet Somebody by Shannon
 
Nakumiss sauti yako balaa, basi tu hujui nilivyokuangukia . . . . unaninyanyapaa kimtandao
Nasikiliza ka-music kangu hapa

Sweet Somebody by Shannon

Ohhh sweet darling....ngoja nikubeep!!Utanipigia?
 
Mimi nampenda Asha D, lizzy, hus, mwanakijiji, dena A, Gurta, afro, klorokwin, asprin, Bujbj,The boc na nk, cmchukii hata mmoja, ila ukileta u,,,,,, nakupa haki yako.
 
Mimi nampenda Asha D, lizzy, hus, mwanakijiji, dena A, Gurta, afro, klorokwin, asprin, Bujbj,The boc na nk, cmchukii hata mmoja, ila ukileta u,,,,,, nakupa haki yako.
<br />
<br />
Haha sante sana mi penda wewe pia
 
So far ninawa-admire members wote wa JF. Bado sijakutana na anayeniboa. Of course, wako ambao tunatofautiana kimawazo na kifikra, but that is part of our lives. Binadamu wote sio sawa na hatuko perfect. Pia bila tofauti zetu JF, isingekuwa hapa ilipo. Nafikiri badala ya disapprove of, kuwa disgusted with or kutompenda mtu kwa mambo anayofanya, tupendane kama wanaJF. Kama kwenye article moja iliyowekwa na Mwanakijiji hapa kutoka huko Kenya inavyosema: “While in Kenya community forums are divided in party and ethnic affiliations and mostly you will find major part of communications in vernacular, in Tanzania [JF] they are united in purpose. Kwa hiyo nadhani tuzingatie hili zaidi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninawa-admire PakaJimmy, Rose1980, Mwanajamiione, Afrodenzi, Gaga, Rev Fr Masanilo (you’re economic kwenye posts zako), Saint Ivuga, Katavi, Tamno, Allien (respect mkuu), Pasco, Husninyo, NILHAM RASHED, Bujibuji, BelindaJacob, First Lady1, CPU, Steve Dii, Klorokwin na ndugu ya Aprin, Dark City, MTM, LD, Bubu Ataka Kusema, Fidel80, WomanofSubstance, Kaka Mpendwa, The Finest, PDidiy, Nyani Ngabu (plus your other 50 IDs. hehe), The Boss, Gaijin, Superman, Nemo, Maria Roza, Kaizer, just to mention the few. Special admiration to Askari kanzu, Nonda, Eqlypz and your Cos for keeping the International Forum active na Mtazamaji hasa kwenye posts zake za mambo ya technology. Bila kuwasahau controversial members kama akina FaizaFoxy, Mertyna na Not Enough.
Ninamwa-admire Nyumba Kubwa. Mara nyingi wakati tujajadili thread huwa tun-argue theoretically. Lakini Nyuma Kubwa likes to bring in her personal experience on the issue. I like that as it gives us a practical perspective on the issue.
Kwa kweli wapo watu wengi sana ninaowa-admire sitaweza kuwataja wote. Labda niseme tuu nawapenda wanaJF wote regardless of our different views or clashes hapa JF. I have learnt a lot from you guys. I ove you all.


EMT I have read and re read... Am so very impressed na the way you have wrote that i am thankful that you are my assistant (though broke...lol). What you have written you have with your heart and shows you mean every word of it - that is good, nimependa the fact umekumbuka kuwataja waloanzisha na kuwezesha Jamii Forums plus watu wanaohusika na mechanisms za kuwezesha it show you are really and genuinely appreciative to be a member and among members... Ndio kutaja watu woote ni kazi but you have tried - and am happy that the list you have provided is as good as any for i admire most of all you have listed...BRAVO!!! From Asha D for that.


Then, kuna huyu member mpya who entered JF by storm. Within a very short time, she has become one of the most popular members at JF. Sio mimi tuu, nafikiri wadau wengi wanapenda sana michango yake. She has brought in new perspectives. Her name is Asha D. I have to admit that it has been a privilege to read your posts.

.


EMT... I Know for a fact unajua nakukubali saaana and not because you have said so about me,

napenda the fact mara nyingi katika uzi mbali mbali nje ya MMU tunakua pamoja and in agreement

(bado sijapata bahati ya kua tofauti but we are human itakuja tu hio siku...)

And you adimitting that I am honored, humbled and Amazed...

THANK YOU EMT.... Really...

:hug:


 
Mimi nampenda Asha D, lizzy, hus, mwanakijiji, dena A, Gurta, afro, klorokwin, asprin, Bujbj,The boc na nk, cmchukii hata mmoja, ila ukileta u,,,,,, nakupa haki yako.



Sharohphp dear... Asha D anakupenda pia...

Asante saana really appreciate...

:wave:
 
Back
Top Bottom