Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Mi simchuki mtu ila nazipinga zile thread zenye kuitazama jinsia moja kama malaika na nyingine kama vijaragosi.
LIZZY your my no1, then come.: husninyo, afrodenz, dena, asha d, the finest, paka jimmy, michele, speaker, eliya, na wanaJF WENYE POSITIVE THINKS TO SAVE THE PEOPLE TO SAVE THE WORLD FROM THE NATURE'S GIFFEN HEROES without weapons pamoja sana wagen na wenyeji.


The DP... Thanks dear, really appreciate your affection...
Pamoja saana from Asha D
:flypig:

 
Jamaa walikuwa wanachakachua sredi namie nikaona isiwe tabu "If you cant beat them Join them" (Source: Lucky Dube), Lakini sasa hivi naona wamehamia PM wanadanganyana.

Na jana nilimuona Lizzy anasema anachukia wanaochakachua hii thread lakini leo................ngoja nisimalizie asije anza kunichukia na kunipenda hapo hapo
 
Dou nilikuwa bize naangalia nani ingalau ananihusudu nimekuta kush nehi, but hii hainikatishi tamaa, im spreading my love to my all special friends hawa wako kwenye profile yangu, na wale wote wanaonipenda na wasionipenda. Sina sababu ya kuchukia mtu yeyote hata kama amenikera kwenye uchangiaji wake, sanasana nachukulia kama changamoto ya kuendelea kwenye thread nyingine


Gaga I love you (and that is genuine) not bcoz niko kwenye list ya marafiki.....
You are one of the most carefree person hapa jamvini
:A S-heart-2:huna pretense... now that is a good person period!:A S-heart-2:
 
Mimi napenda uzi za Pauline lakini tangia nimemsifia tembo kalitia maji siku hizi hata hatundiki kitu ingawaje hujitokeza kuchangia siku moja moja sijui nani kamkorofisha......................Asha D naye hujitahidi...............................siku moja moja vile..............


Rutashubanyuma so like you to put it in a formal way...lol

Thank you... I am appreciative saaana.

Take care...

:smile-big:
 
Nawapenda wote wanaoshindana kwa hoja. My favourites ni Dena Amsi, Michelle,Asha D,Preta,First Lady,The Finest,Gaga and You Lizy. Nawachukia wote wanaowatukana wenzao wakikosoa post zao.


Ennie asante Dearest... nashukuru kua katika list ya favourites

Hii enevitably inanifanya nikupende pia... Thanx...:A S-rose:
 
Na jana nilimuona Lizzy anasema anachukia wanaochakachua hii thread lakini leo................ngoja nisimalizie asije anza kunichukia na kunipenda hapo hapo

Aaaargh Lizzy asikushtue sana. Lizzy siku akikosa PM yangu anakuwa anaropokwa tu hata haelewi anaongea nini! Siku ukiona Lizzy anaongea mapointi basi ujue siku hiyo Klorokwini kamPM Lizzy. Asha D atathibitisha hili
 
Back
Top Bottom