Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Kina mr nice ndiyo walizifunika... kwa Arusha kwenye vibanda umiza ikimalizika movie tunapewa ofa ya katitu...Aaaah kakitu, enzi hizooo hakuna hata bongofleva,
![]()
Unaskia jamani tabu ni mbaya taabu ni mbaya jamani taabu ni mbaaya tabu mbayaa.
uzuri wa hizi nyimbo, composer wadeal na intonation rhythm na repitition.

