Wana jf, hebu tujadili kidogo na mwishoe tutoe comment..
Mara nyingi kunakuwepo na udanganyifu wa upendo wa dhati kwenye mapenzi,kwamba sisi wakaka tunalalamika kwamba wadada wengi wanapretend (wana act) kuwa wana mapenzi ya dhati sana na kama amekosea atakulilia mpaka machozi yatoke,lakin ukimsamehe,anarudia yaleyale.
Wadada nao wanadai wanaume hawana mapenzi ya dhati kwa kuwa wakati mwingine hampigii cm au hampi ela..
Je nan hana mapenzi ya dhati zaidi?
Mara nyingi kunakuwepo na udanganyifu wa upendo wa dhati kwenye mapenzi,kwamba sisi wakaka tunalalamika kwamba wadada wengi wanapretend (wana act) kuwa wana mapenzi ya dhati sana na kama amekosea atakulilia mpaka machozi yatoke,lakin ukimsamehe,anarudia yaleyale.
Wadada nao wanadai wanaume hawana mapenzi ya dhati kwa kuwa wakati mwingine hampigii cm au hampi ela..
Je nan hana mapenzi ya dhati zaidi?