Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Hali hivi sasa ni mbaya kimaadili, wazazi wanatukana matusi ya nguoni mbele ya watoto na watoto nao wanatukanana bila wowote. Hii nimeishuhudia hapa mtaani, mama alikuwa anamtukana mwanae wa miaka miwili matusi ya nguoni.....ms..nge wewee, una....mbwa, unaf... na wachawi...na matusi mengine ya nguoni.
Mwanzo nilidhani anatukanana na mtu mzima kumbe ni mtoto, kisa alikuwa analia na huyo mama kambembeleza bila mafanikio ndio kaanza kumporomoshea matusi na majirani wengine walikuwa wakishangilia. Sasa najiuliza jukumu la kulea watoto kama hawa ni la nani, ikiwa kazungukwa na jamii ya watu waliopinda..
Mwanzo nilidhani anatukanana na mtu mzima kumbe ni mtoto, kisa alikuwa analia na huyo mama kambembeleza bila mafanikio ndio kaanza kumporomoshea matusi na majirani wengine walikuwa wakishangilia. Sasa najiuliza jukumu la kulea watoto kama hawa ni la nani, ikiwa kazungukwa na jamii ya watu waliopinda..