Nani mwanzilishi wa maneno Papuchi/papuche, gegeda na dushelele

Papuchi "siijui" maana yake wala sitaki kuijuwa. Lakini lina sound kama lugha ya kitoto.

Kugegeda ni neno la Kiswahili la zamani sana, likimaanisha kukata hovyo hovyo bila mpangilio, kwa kisu kidugi au kwa meno.

Nakumbuka nikiwa mdogo early 60s, marehem mama yake bibia'ngu, tukifanya utundu anatwambia "ntakugegeda masikio yako".

Dushelele, najuwa ni nyimbo ya Ali Kiba kama sikosei.

Sasa JF hapa naona haya maneno yana maana nyingine. Ndiyo lugha inakuwa, lazima iwe na "slang".
Sasa mtani kama umri wako ulipitia hapo kwenye red kuna uhalali kuchangia posti kama hii.Huoni uko mahali pasipo pake naomba niwe nakukumbusha ..this is gross technical mistake!
 
huyu jamaa mbona mnamuonea sana,utafikiri anaiangalia nyumba yake iliyosombwa na mafuriko!
Nafikiri anatazama jinsi daraja llinalounganisha bwagamoyo na dalisalama jinsi lilivyokatika sasa anafikiria home atafikaje masikini. Hii ,vua hii achene jamani imetuachia hasara kubwa.
 
Papuchi "siijui" maana yake wala sitaki kuijuwa. Lakini lina sound kama lugha ya kitoto.

Kugegeda ni neno la Kiswahili la zamani sana, likimaanisha kukata hovyo hovyo bila mpangilio, kwa kisu kidugi au kwa meno.

Nakumbuka nikiwa mdogo early 60s, marehem mama yake bibia'ngu, tukifanya utundu anatwambia "ntakugegeda masikio yako".

Dushelele, najuwa ni nyimbo ya Ali Kiba kama sikosei.

Sasa JF hapa naona haya maneno yana maana nyingine. Ndiyo lugha inakuwa, lazima iwe na "slang".

Ahsante sana, nimeshiba.

Shkamoo mama.
 
Sasa mtani kama umri wako ulipitia hapo kwenye red kuna uhalali kuchangia posti kama hii.Huoni uko mahali pasipo pake naomba niwe nakukumbusha ..this is gross technical mistake!

teeeeh..kwa hiyo sisi tuloenda "vidato" hatustahiki kuchangia mada kama hizi??
 
Kwa nn hutaki kujua maana ya papuchi?
Papuchi "siijui" maana yake wala sitaki kuijuwa. Lakini lina sound kama lugha ya kitoto.

Kugegeda ni neno la Kiswahili la zamani sana, likimaanisha kukata hovyo hovyo bila mpangilio, kwa kisu kidugi au kwa meno.

Nakumbuka nikiwa mdogo early 60s, marehem mama yake bibia'ngu, tukifanya utundu anatwambia "ntakugegeda masikio yako".

Dushelele, najuwa ni nyimbo ya Ali Kiba kama sikosei.

Sasa JF hapa naona haya maneno yana maana nyingine. Ndiyo lugha inakuwa, lazima iwe na "slang".
 
Hata sielewi haya majina yametokea wapi kwa upande wangu nimeyafahamia humu ndan wanajamii hawa wanamambo balaa
 
Papuchi "siijui" maana yake wala sitaki kuijuwa. Lakini lina sound kama lugha ya kitoto.

Kugegeda ni neno la Kiswahili la zamani sana, likimaanisha kukata hovyo hovyo bila mpangilio, kwa kisu kidugi au kwa meno.

Nakumbuka nikiwa mdogo early 60s, marehem mama yake bibia'ngu, tukifanya utundu anatwambia "ntakugegeda masikio yako".

Dushelele, najuwa ni nyimbo ya Ali Kiba kama sikosei.

Sasa JF hapa naona haya maneno yana maana nyingine. Ndiyo lugha inakuwa, lazima iwe na "slang".

Shikamoo Bi mkubwa.
 
Gegeda linaukaribu sana na UZARAMU coz wana mdudu mmoja anaitwa GEGEDU ama Mchwa. Sasa wao ndiyo wanasentensi nyingi sana zinazomuhusu huyu mchwa na ugegedaji wake. Huu ni kwa uzoefu wangu wa kuishi hapa Dar kwa miaka 15 na kua karibu na hawa watani zangu.

Kuna mtu amechangia huko nyuma kuhusiana na bibi yake,yuko sahihi kwa mimi navyoelewa
 
Back
Top Bottom