Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,268
- 79,641
Asalam-aleikhum wenzangu katika Mfungo haswa wa visiwani,
naomba kuuliza ati katika picha hiyo ya hao viongozi nani chief hapo? au ndiyo zile bifu zetu za Uunguja na Upemba huyu Makamo wa Rais wa Bara alitaka hicho kiti cha Rais wa Zanzibar akakosa sasa ni Makamo wa Rais wa Muungano anakosa heshima anamvimbia Rais wa Zanzibar! Wajameni nimeiskia hii baraza watu wakibishana baada ya kula daku huko Stone town! Je ukweli upo wapi? wapi FF atueleze!