Nani mkubwa ki-protokali

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,268
79,641
08.jpg


Asalam-aleikhum wenzangu katika Mfungo haswa wa visiwani,
naomba kuuliza ati katika picha hiyo ya hao viongozi nani chief hapo? au ndiyo zile bifu zetu za Uunguja na Upemba huyu Makamo wa Rais wa Bara alitaka hicho kiti cha Rais wa Zanzibar akakosa sasa ni Makamo wa Rais wa Muungano anakosa heshima anamvimbia Rais wa Zanzibar! Wajameni nimeiskia hii baraza watu wakibishana baada ya kula daku huko Stone town! Je ukweli upo wapi? wapi FF atueleze!
 
Inaonyesha hapakuwa na protocali hapo maana naona kuna watu baki tu nao wapo kwenye safu ya Bilali au inaweza ikawa kama mbio ndefu kuna kipindi humjui wa kwanza wala wa mwisho maana wa mwisho anaweza zungukwa hata mara nane na wa kwanza, kwa hiyo hata na hapa Shein anamalizia na Bilali anaanza
 
Umeuliza kiprotokali,Makamu wa rais wa jamhuri ni mkubwa kiprotokali zaidi ya rais wa Zanzibar.
 
Kiprotokali Makamo wa Rais ni Mkubwa kuliko Raisa Zanzibar. Kwenye muungano Rais wa zanzibar ni kama waziri tu na anaingia kwenye vikao vya baraza la mawaziri kama waziri anavyoingia Ngereja
 
Je Seif akija bara anakuwa kama nani? Katiba ya bara haimtambui je anastahili king'ora akija dar?
 
Nimekutana nae hivi majuzi akiwa kwenye gari ya kawaida bila ving'ora ila gari lilokuwa nyuma yake nadhani ni ecort bila shaka, kama unavyomuona Bi Kiroboto na Mkuu wa geshi letu mara nyingi wanakatiza kimya kimya na wakati mwingine tunakuwa nao kwenye foleni, isipokuwa anapokuwa na issue fulani ya kiserikali inayomuwahisha basi utakuta pikipiki pale mbele na kwa mgeshi ni ile wanteni yao
 
08.jpg


Asalam-aleikhum wenzangu katika Mfungo haswa wa visiwani,
naomba kuuliza ati katika picha hiyo ya hao viongozi nani chief hapo? au ndiyo zile bifu zetu za Uunguja na Upemba huyu Makamo wa Rais wa Bara alitaka hicho kiti cha Rais wa Zanzibar akakosa sasa ni Makamo wa Rais wa Muungano anakosa heshima anamvimbia Rais wa Zanzibar! Wajameni nimeiskia hii baraza watu wakibishana baada ya kula daku huko Stone town! Je ukweli upo wapi? wapi FF atueleze!
kiprotokali iko kama ifutavyo:
1. Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania
2. Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania
3. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
4. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
5. Speaker wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
6. Makamu wa Kwanza wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
7. Makamu wa Pili wa Rais wa seriksli ya Mapinduzi ya Zanzibar
8. Jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
9. Jaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
10. waheshimiwa mawaziri wa pande zote mbili
11. waheshimiwa wabunge/wajumbe wa baraza la wawakilishi
12. makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara mbalimbali
13. wakuu wa mikoa
14. wakuu wa Wilaya
15. wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Miji
16. Wataalamu Mbalimbali
17. wasomi
18. mabibi na mabwana (akina pangu pakavu tia Mchuzi)
 
kiprotokali iko kama ifutavyo:
1. Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania
2. Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania
3. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
4. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
5. Speaker wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
6. Makamu wa Kwanza wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
7. Makamu wa Pili wa Rais wa seriksli ya Mapinduzi ya Zanzibar
8. Jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
9. Jaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
10. waheshimiwa mawaziri wa pande zote mbili
11. waheshimiwa wabunge/wajumbe wa baraza la wawakilishi
12. makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara mbalimbali
13. wakuu wa mikoa
14. wakuu wa Wilaya
15. wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Miji
16. Wataalamu Mbalimbali
17. wasomi
18. mabibi na mabwana (akina pangu pakavu tia Mchuzi)

asante kwa kutufahamisha
 
kiprotokali iko kama ifutavyo:<br />
1. Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania<br />
2. Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania<br />
3. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar<br />
4. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />
5. Speaker wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />
6. Makamu wa Kwanza wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar<br />
7. Makamu wa Pili wa Rais wa seriksli ya Mapinduzi ya Zanzibar<br />
8. Jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />
9. Jaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar<br />
10. waheshimiwa mawaziri wa pande zote mbili<br />
11. waheshimiwa wabunge/wajumbe wa baraza la wawakilishi<br />
12. makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara mbalimbali<br />
13. wakuu wa mikoa<br />
14. wakuu wa Wilaya<br />
15. wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Miji<br />
16. Wataalamu Mbalimbali<br />
17. wasomi<br />
18. mabibi na mabwana (akina pangu pakavu tia Mchuzi)
mwema na mwamunyange wako wapi?
 
kiprotokali iko kama ifutavyo:
1. Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania
2. Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania
3. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
4. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
5. Speaker wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
6. Makamu wa Kwanza wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
7. Makamu wa Pili wa Rais wa seriksli ya Mapinduzi ya Zanzibar

8. Jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
9. Jaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
10. waheshimiwa mawaziri wa pande zote mbili
11. waheshimiwa wabunge/wajumbe wa baraza la wawakilishi
12. makatibu wakuu na wakurugenzi wa wizara mbalimbali
13. wakuu wa mikoa
14. wakuu wa Wilaya
15. wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya na Miji
16. Wataalamu Mbalimbali
17. wasomi
18. mabibi na mabwana (akina pangu pakavu tia Mchuzi)

Spika na Jaji mkuu wanalingana maana wote ni wakuu wa mihilili ya serikali
Makamu wa Zanzibar hawatambuliwi na Katiba ya nchi umewa rank juu wnastahili kutokuwepo kwenye list
 
Spika na Jaji mkuu wanalingana maana wote ni wakuu wa mihilili ya serikali
Makamu wa Zanzibar hawatambuliwi na Katiba ya nchi umewa rank juu wnastahili kutokuwepo kwenye list

Unaposema Spika wa bunge na Jaji mkuu wanalingana kwa kuwa wote ni wakuu wa mihimili ya serikali, Basi Sika , Jaji Mkuu na RAIS wote wako sawa maana serikali ina mihimili mitatu, ambayo ni Bunge, Mahakama na RAIS na wakuu wake ni Spika(Bunge) Jaji Mkuu ( Mahakama) na Rais! so si kweli kuwa wanalingana! Hivi madiwani nao wanasimama wapi ki protocali!
 
Spika na Jaji mkuu wanalingana maana wote ni wakuu wa mihilili ya serikali
Makamu wa Zanzibar hawatambuliwi na Katiba ya nchi umewa rank juu wnastahili kutokuwepo kwenye list
unakumbuka wakati wa utawala wa mkapa; yeye rais alisafiri, makamu wake alisafiri, na waziri mkuu sumaye pia alisafiri ; speaker wa bunge alikaimu nafasi ya rais wa nchi; kwa nn hakupewa jaji mkuu? kuhusu makamu wa kwanza na wa pili wa zanzibar, walipatikana baada ya kuvunjwa kwa cheo cha waziri mkuu kiongozi wa zanzibar ambaye alikuwa anatambuliwa na katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, kwa kuwa katiba hiyo bado haijafanyiwa mabadiliko ndio maana nikawauhisha hapo kwani hata kama hawatambuliwi na katiba lakini wapo!
 
Back
Top Bottom