Hivi umesoma topic inahusu nini kweli.....sasa jokate ana msambwanda gani wa kumzidi kajala hadi akafananishwebna Wema au Uwoya ana chura huyo?? Hata mimi kura yangu inaenda kwa Kajala msambwanda wake OG sio chinese innovationsKwani Kajala ana uzuri gani, ni heri ungeweka Wema Vs Uwoya au Wema Vs Jokate ndio kunaweza kuwa na competition