Nani mkali kati ya Wema na Kajala?

Nani mkali kati ya Wema na Kajala?

BOOTY BATTLE E01 | WEMA SEPETU VS. KAJALA


  • Total voters
    23
Kuna Mshikaji wangu mmoja hivi wa ' Kishua ' fulani ' ameshawabandua ' wote wawili hao na kwa jinsi alivyonipa ' mrejesho ' wa ' Makokwa ' yao yalivyo huwa nawashangaa mno Watu ambao huwa mnapoteza muda wenu ' Kuwashobokea ' hawa akina Dada wawili.
makokwa ndo nn mkuu hebu nitonye, umeniacha kabisa
 
Matakataka hayo. Ya nini kuwa na makalio makubwa akati kwenye akili hamna kitu. Ukiona mwanamume anakufukuzia eti kisa makalio jua huyo hamna kitu kichwa. Wazungu wanapenda mwanamke aliye bright kichwani ndio maana kila siku wanaendelea sasa wee endelea kupenda mavitu yaliyovimba kwa nyuma ukaona ni ujanja

Una Kheri Kwa kulijua hilo! Ni wachache sana wenye kuelewa hilo! Imeandikwa "heri Pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe kuliko Mwanamke mzuri asiye na AKILI" mpaka Mungu amesema Neno Hilo Kwenye Biblia litakuwa ni jambo muhimu sana! Mwanamke anapaswa kuwa Mwenye AKILI ! Anaetaka rejea ya maandiko aseme nimpatie
 
Una Kheri Kwa kulijua hilo! Ni wachache sana wenye kuelewa hilo! Imeandikwa "heri Pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe kuliko Mwanamke mzuri asiye na AKILI" mpaka Mungu amesema Neno Hilo Kwenye Biblia litakuwa ni jambo muhimu sana! Mwanamke anapaswa kuwa Mwenye AKILI ! Anaetaka rejea ya maandiko aseme nimpatie

kwani msambwanda ndo unanyima wanawake akili??? anaweza akawa na msambwanda na akili iko kumkichwa
 
kwani msambwanda ndo unanyima wanawake akili??? anaweza akawa na msambwanda na akili iko kumkichwa

Kipi kinapaswa kuanza AKILI misambwanda iwe ziada na nyongeza Au misambwanda kisha AKILI ndo iwe Ziada Au nyongeza ? Ipi inapaswa kuwa variable factor na ipi iwe independent factor? AKILI ndo inapaswa kuwa kitu cha kwanza mengine ni nyongeza !
 
Kajala yupo bomba. Alichoniuzi ni kuanza kujikoboa au sijui anakunywa maji mengi?? Alikuwaga mzuri sana zamani
 
Matakataka hayo. Ya nini kuwa na makalio makubwa akati kwenye akili hamna kitu. Ukiona mwanamume anakufukuzia eti kisa makalio jua huyo hamna kitu kichwa. Wazungu wanapenda mwanamke aliye bright kichwani ndio maana kila siku wanaendelea sasa wee endelea kupenda mavitu yaliyovimba kwa nyuma ukaona ni ujanja

Mambo ya zamani ayo. Hata uko majuu saivi Dili ni kiuno.
 
Mwanamke bila makalio makubwa, ni sawa na nchi bila jeshi.
Binafsi nayazimikia sana
 
Wazungu wanapenda mwanamke aliye bright kichwani ndio maana kila siku wanaendelea sasa wee endelea kupenda mavitu yaliyovimba kwa nyuma ukaona ni ujanja


Achana na story za vijiweni mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom