Nani mkali kati ya Diblo Dibala na Dally Kimoko

kakuruvi,
Leo nimekukumbuka...Kula hii kitu...safi sana..slow rhumba

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=2f1rHvJ3mY8&feature=related[/ame]
 
Safari,

mambo mazuri haya, extra boy unaweza kuipata?

Kwa upande wangu, nina audio ya Extra Ball, almost the whole album!


Ni kweli kbs bro, Awilo ameshiriki sana ku-rap katika album za jamaa zake wengi sana wa Loketo. Ukisikiliza album ya Lucien Bokilo ya 'One Way' utamsikia akirap, hali kadhalika anasikika katika album ya Aurlus Mabele ya 'Embargo'. Jamaa katoka mbali (kama mpiga ngoma wa kundi la Loketo)

Bendi ya Diblo ikiitwa Matchacha

Sure, na album yake Diblo ikiitwa 'Laissez Passer'.

Hata hivyo nashangaa nyie magwiji mnamsahau kijana Kaen Madoka, ambaye ni mpiga gitaa wa Loketo baada ya Dally Kimoko na Diblo kulitosa kundi. Huyu ni jamaa aliyepiga gitaa katika album ya Loketo ya "Generation Wachiwa", ambayo ina wimbo wa 'Khadija' pamoja na album za kijana Djunny Claude ambaye pia ni mmoja wa wanakikundi wa Loketo enzi hizo.
Nina hizi audio, huwa nasuuzika sana nikizisikiliza, hata Magic Fm hawafui dafu hapa!
 
mkuuu uzeee afu usisahau enzi huja na kupita ila DIBLOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO wacha kabisa
 
mkuuu kwenye xtra ball aliyepiga solo ni DIBLO MKUUU
daly kimoko alipiga gitaa ktk albam moja ya aurlus mabele ya extra ball yaani mpaka leo kazi zao za zamani zinawika utazani zimeingia jana sokoni hazichuji ni kama ragae za bob marley hazichuji milele na kazi za hawa watu 2 ni mpya kila siku.
 
Leka huyu aliitwa Le Professoeur Vata Mombasa, jamaa alikuwa balaa, nadhani hawa kina Diblo na Dally walijifunza kutoka kwa huyu mtaalamu. Kuna mtaalamu mwingine wa kupuza saxaphone, Kiamangwana Mateta Verkys, huyo nae bora usikie tu.
 
Ndenge Zalii................................................................!
 

Abel bartazar na Mulenga!!!! Walikua balaaaaaa!
Nakumbuka wimbo wa Bima lee "mzigo umeutua" ndani lilipigwa gitaa la njaaa
 

Mkuu hapo kwa Ngouma Lokito a.k.a Le Proffeser ndio patamu,jamaa anajua kucharaza Base mbaya bila kumsahau Saladin,kwenye wembo wa Soukous Stars Mama Rhoda ndio utajua uchawi wao.
 
Hii topic inajirudia kila mara. Dally Kimoko all the way
 
Diblo si wa mchezo mchezo ndugu yangu.
Mpaka leo nikikaa na kusikiliza gita linavyo vuma!! acha tu.
 
wakat lingala inatisha kulikuwa na wapiga gitaa wengi sana mfano,dali kimoko,diblo,benico,allain makaba,burkina faso kasongo,nene tchaku,sheshe kalonda,wakipigia sehem mbambali wakat huo nakumbuka la nouvelle generaciones awillo longomba akipiga drums,hatarii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…