Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
kakuruvi,
Leo nimekukumbuka...Kula hii kitu...safi sana..slow rhumba
http://www.youtube.com/watch?v=2f1rHvJ3mY8&feature=related
Safari,
mambo mazuri haya, extra boy unaweza kuipata?
Wadau,
Kwanza nianze kusema kuwa LOKETO haikuwa BENDI gorup.
Hawa jamaa walikuwa na bendi zao za kila siku na time to time wanaamua kukutana na kula good time pamoja. Ndiyo maana safu zao siku zote zilikuwa zinabadilika ingawa kuna jamaa siku zote walikuwa hapo.
Loketo ama KIUNO walipata sifa kubwa sana kwa muda mfupi kwani walikuwa ni watu wanafahamu nini wanataka na kukifanya kwa umahiri mkubwa na hamna eti MTU WA KUJAZIA. Mwanzo walianza na Diblo Dibala aliyetoka kwa Kanda Bongo Man na kuanzisha kundi lake mwenyewe baadaye. Baadaye wakawa na Dally Kimoko. Moja ya watu mashuhuri aliyekuwa kwenye kundi hili ila siku hizo hafahamiki ni Awilo Longomba.
http://www.youtube.com/watch?v=QBCCcH-QJWY
(Ukianzia 4:00 utamsikia Awilo akiimba/Rap na mbele kidogo mama anasema Dally Kimoko).
http://www.youtube.com/watch?v=UNXVIXcpbUo
(Ukianzia 3:15 utasikia wakitaja jina la Awilo Longomba ambaye siku hizo ni Mpiga drums unazosikia kwenye wimbo hapo juu).
Ki ufundi, Diblo Dibala alikuwa akipiga gitaa ki-Afrika zaidi yaani nyuzi moja moja. Dally Kimoko alianza kuweka zile sauti za gitaa kama za Rock Musics yaani ufundi wa akina Slash wa Gun N' Roses au Mzee Jimmy Hendrix. Ila wengine pia walianza baadaye kuiga kama akina Zaiko langa langa na Waafrika tuliipenda maana walikuwa wakiweka sauti tu ila upigaji unabaki ule ule.
Bendi ya Diblo ikiitwa Matchacha
Heshima Kakuruvi,
Kweli hawa jamaa walikuwa moto wa kuotea mbali.Diblo Dibala,Dally Kimoko na Neneh Chakuchaku walitawala vyema mpini wa solo kwa upande wa bass alikuwepo ngouma lokito na rhyzm alikuwepo Lokasa ya mbongo.
Kwenye anga za muziki hawa jamaa hawasikiki kabisa sijui kimewasibu nini.
daly kimoko alipiga gitaa ktk albam moja ya aurlus mabele ya extra ball yaani mpaka leo kazi zao za zamani zinawika utazani zimeingia jana sokoni hazichuji ni kama ragae za bob marley hazichuji milele na kazi za hawa watu 2 ni mpya kila siku.
..Siutani mazee..kwani ile mipini ya hawa jamaa mnaionaje?? Hamza Kalala, John Maida, Abel Bartazar, Joseph Mulenga, Saidi Mabela, Kasim Rashid " Kizunga",Kasim Mponda na wengineo iko juu kishenzi nadhani walikosa exposure tu kiasi kwamba hawakuvumia mbali sana!!! Big up Bujibuji..
Heshima Kakuruvi,
Kweli hawa jamaa walikuwa moto wa kuotea mbali.Diblo Dibala,Dally Kimoko na Neneh Chakuchaku walitawala vyema mpini wa solo kwa upande wa bass alikuwepo ngouma lokito na rhyzm alikuwepo Lokasa ya mbongo.
Kwenye anga za muziki hawa jamaa hawasikiki kabisa sijui kimewasibu nini.
huu umenfurahsha sanaraha ya gita njoo kwetu afrika