aende tu, aliniboa sana huyu, hana lolote. asante CCM kwa kumtimua kabisa mnafki sana yule. kila siku anazua visa tu kwa wenzie, utadhani yeye alikuwa msafi, akiletewa ngoma bungeni anawarudia aliowajeruhi kushirikiana nao kisha inazimwa (rejea ishu ya richmond) sasa huyu spika gani? mara ajijengee ofisi ya spika jimbini kwake urambo, utadhani alijhakikishiwa kuwa uspika utatoka urambo milele, kweli ule si ubadhirifu wa mali za umma? ilikuwa akili, au matpe kichwani kwake? amevuna lichopanda, na aende zake tu, tena wamemchelewesha sana, bora angevuliwa tu uanachama kipindi kle. bora sasa wametiletea makinda. huyu atalimudu bunge hakika
Duru ndo hizo sasa,tusubiri tu baada ya kukosa Uspika SS ndo anaenda kwenye UPM.
Acha upumbavu wako mama .watu tunasikitika nchi inapelekwa pelekwa na wahuni wewe unachekelea.kama swala la muhimili mmoja uongozwe na mwanamke situngempa mama kikwete nchi zen jamaa awe first-boy.na nikikukamata lazima nikutufuetufue punda weweee!
- Je watamrudisha PINDA au na yeye watasema ni nafasi za wanawake kipindi hiki? Lakini huyu jamaa hana madhara kwao! yakiwa magumu analia!
- Magufuli angefaa lakini atamfunika JK- japo wote wana PhD? Huyu atapewa kawizara kagumu?
Wana JF waziri Mkuu wa Chama Cha Majambazi ni nani? Je watafuata utaratibu waliotumia kumpata Anna Makinda anayekwenda kuliangamiza taifa kupitia mamlaka anayokwenda kupewa Bungeni?
Na huo ndio ukweli wenyewe.
Haya yaliyotokea sio surprise hata kidogo. Namshangaa 6 alipaswa kujua majaliwa ya nafasi yake hata kabla ya uchaguzi. Ameshikwa pabaya, miaka 5 ya bunge kwake itakuwa kama miaka 10.
- Je watamrudisha PINDA au na yeye watasema ni nafasi za wanawake kipindi hiki? Lakini huyu jamaa hana madhara kwao! yakiwa magumu analia!
- Magufuli angefaa lakini atamfunika JK- japo wote wana PhD? Huyu atapewa kawizara kagumu?
Wana JF waziri Mkuu wa Chama Cha Majambazi ni nani? Je watafuata utaratibu waliotumia kumpata Anna Makinda anayekwenda kuliangamiza taifa kupitia mamlaka anayokwenda kupewa Bungeni?
Nimeipenda hii!watamrudisha PINDA ....................yakiwa magumu analia!
Umenichekesha sana kwa kweli mpendwa.acha fiksi zako wewe!makinda haliwezi bunge hili.ataweza kuamulia ngumi?Marando anahusika.
nimekusoma kakakwanza tunadhani sitta ni safi kiasi hicho kukemea ufisadi?
Kama sitta ni clean alikwenda kujenga zile office kule kwao za nini? Jee alijua kwamba atakuwa madarakani kwa muda gani? Na ni wazi kabisa 2015 sitta alikuwa anajipanga kuja kulianzisha kwenye sakata la uraisi, lakini wakubwa wameona mbali hivyo wamemtoa kafara kwenye ziwa tanganyika.
Politics ya ccm ni rahisi sana kuisoma, ndio maana sielewi how wanaweza kurudi 2015. Chama kiko kwenye political bankrupcy, hakina new ideas, wala new leaders. Ni wale wale wazee ambao wameifikisha tanzania hapa ilipo leo, failed policies and poor theories.
Msipoteze wakati wenu waziri mkuu ataendelea huyo huyo Pinda kwani hawabugudhi MAFISADI; in fact wanampenda kwani alikili mwenyewe bungeni kuwa "anawaogopa" kwani wana nguvu sana wanaweza kuyumbisha nchi!! What a PM!!
Duru ndo hizo sasa,tusubiri tu baada ya kukosa Uspika SS ndo anaenda kwenye UPM.
Sam six anaweza kuwa waziri wa mambo ya ndani ama naibu waziri mkuu.taarifa nilizonazo ni kwamba leo amekua na kikao kizito na mkwere akijaribu kumshawishi sam 6 akubali moja kati ya hizo chances japo sam amekua akisita na kutishia kutimkia chadema,anaona bora awe kwenye benchi la upinzani kuliko kukalia tena benchi la ccm,pia kumekua na presha toka kwa wapambanaji wa ufisadi ndani ya ccm wakiongozwa na dr.mwakyembe kumtaka sam 6 asikubali kuhongwa vyeo hivyo kulinda heshma yake,ni suala la kusubiri na kuona nini kitajiri.
Mwisho wa kuwasilisha.