Sasa kama Mh.Rais hana maamuzi mpaka wampe desa hiyo si hatari? siamini kama kweli mh.rais huwa hana misimamo anayosimamia kama ni hivyo basi hali itakuwa mbaya miaka hii mitano ya mwisho hasa ukizingatia watu wanavyokimbizia Urais 2015 utafikiri uhai wanatoa wao!