Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Dr slaa ni waziri mkuu mmemsaahau...
Masihara katika mada muhimu hata hayafai jamani.
Kama unataka utani ingia hapa: Jokes/Utani + Udaku/Gossips
Dr slaa ni waziri mkuu mmemsaahau...
Kuna tofauti gani kati ya hao watu? CCM yote ni maumivu tu.
Hakuna tofauti ; PM ni EL
Hakuna tofauti ; PM ni EL
Huo ndo ukweli wake, JK uwezo wake ni mdogo sana katika kufikiria.Anamrudisha Mtoto wa Mkulima!
Ni kweli watu hao watatu wanaweza kuwa wanazungumziwa kama possible candidate. Ukweli ni kwamba kwa unafiki wa serikali ya CCM Sitta hawezi kupewa u PM kwani ndiye aliyemtoa Uspika. Magufuli toka serikali ya awamu ya nne ianze JK kwa sababu anzozijua mwenyewe alimchukia tu. Magufuli ni mchapa kazi wa kweli na mfuatiliaji position ya u PM ingemfaa zaidi. Hivyo basi Pinda atarudishwa nafasi ya u waziri mkuu ingawa hawaivi kiivyo.
Issue hapa kwa CCM ni juu ya chama na sio nani anafanya kazi kwa manufaa ya wananchi nani atalinda maslahi ya viongozi wa chama. Kwa hao watatu Pinda ndio anaqualify zaidi. Get jamani serikali ya CCM si kwa ajili kuwatumia wananchi. Chama kwanza wananchi baadae ikibidi.
Mambo ya kutaja taja watu in advance mtasababisha watu wakose UPM ivi ivi
Kuna jitihada kubwa na fedha nyingi zinatumika ili EL awe PM 2010-15. Wazee wa CCM wakiwepo marais wastaafu wanafanya kila namna kumshawishi JK amteue EL kushika wadhifa huo kwa mara nyingine tena kwa kuzingatia kuwa "amejisafisha" kwa kashfa zilizomng'oa kwenye wadhifa huo. It's just the matter of time, let's wait and see.
Habari ndiyo hiyo:sad: