Duru ndo hizo sasa,tusubiri tu baada ya kukosa Uspika SS ndo anaenda kwenye UPM.
aende tu, aliniboa sana huyu, hana lolote. asante CCM kwa kumtimua kabisa mnafki sana yule. kila siku anazua visa tu kwa wenzie, utadhani yeye alikuwa msafi, akiletewa ngoma bungeni anawarudia aliowajeruhi kushirikiana nao kisha inazimwa (rejea ishu ya richmond) sasa huyu spika gani? mara ajijengee ofisi ya spika jimbini kwake urambo, utadhani alijhakikishiwa kuwa uspika utatoka urambo milele, kweli ule si ubadhirifu wa mali za umma? ilikuwa akili, au matpe kichwani kwake? amevuna lichopanda, na aende zake tu, tena wamemchelewesha sana, bora angevuliwa tu uanachama kipindi kle. bora sasa wametiletea makinda. huyu atalimudu bunge hakika
aende tu, aliniboa sana huyu, hana lolote. asante CCM kwa kumtimua kabisa mnafki sana yule. kila siku anazua visa tu kwa wenzie, utadhani yeye alikuwa msafi, akiletewa ngoma bungeni anawarudia aliowajeruhi kushirikiana nao kisha inazimwa (rejea ishu ya richmond) sasa huyu spika gani? mara ajijengee ofisi ya spika jimbini kwake urambo, utadhani alijhakikishiwa kuwa uspika utatoka urambo milele, kweli ule si ubadhirifu wa mali za umma? ilikuwa akili, au matpe kichwani kwake? amevuna lichopanda, na aende zake tu, tena wamemchelewesha sana, bora angevuliwa tu uanachama kipindi kle. bora sasa wametiletea makinda. huyu atalimudu bunge hakika
Duru ndo hizo sasa,tusubiri tu baada ya kukosa Uspika SS ndo anaenda kwenye UPM.
Bado sana wewe hujui kitu!aende tu, aliniboa sana huyu, hana lolote. asante CCM kwa kumtimua kabisa mnafki sana yule. kila siku anazua visa tu kwa wenzie, utadhani yeye alikuwa msafi, akiletewa ngoma bungeni anawarudia aliowajeruhi kushirikiana nao kisha inazimwa (rejea ishu ya richmond) sasa huyu spika gani? mara ajijengee ofisi ya spika jimbini kwake urambo, utadhani alijhakikishiwa kuwa uspika utatoka urambo milele, kweli ule si ubadhirifu wa mali za umma? ilikuwa akili, au matpe kichwani kwake? amevuna lichopanda, na aende zake tu, tena wamemchelewesha sana, bora angevuliwa tu uanachama kipindi kle. bora sasa wametiletea makinda. huyu atalimudu bunge hakika
aende tu, aliniboa sana huyu, hana lolote. asante CCM kwa kumtimua kabisa mnafki sana yule. kila siku anazua visa tu kwa wenzie, utadhani yeye alikuwa msafi, akiletewa ngoma bungeni anawarudia aliowajeruhi kushirikiana nao kisha inazimwa (rejea ishu ya richmond) sasa huyu spika gani? mara ajijengee ofisi ya spika jimbini kwake urambo, utadhani alijhakikishiwa kuwa uspika utatoka urambo milele, kweli ule si ubadhirifu wa mali za umma? ilikuwa akili, au matpe kichwani kwake? amevuna lichopanda, na aende zake tu, tena wamemchelewesha sana, bora angevuliwa tu uanachama kipindi kle. bora sasa wametiletea makinda. huyu atalimudu bunge hakika
aende tu, aliniboa sana huyu, hana lolote. asante CCM kwa kumtimua kabisa mnafki sana yule. kila siku anazua visa tu kwa wenzie, utadhani yeye alikuwa msafi, akiletewa ngoma bungeni anawarudia aliowajeruhi kushirikiana nao kisha inazimwa (rejea ishu ya richmond) sasa huyu spika gani? mara ajijengee ofisi ya spika jimbini kwake urambo, utadhani alijhakikishiwa kuwa uspika utatoka urambo milele, kweli ule si ubadhirifu wa mali za umma? ilikuwa akili, au matpe kichwani kwake? amevuna lichopanda, na aende zake tu, tena wamemchelewesha sana, bora angevuliwa tu uanachama kipindi kle. bora sasa wametiletea makinda. huyu atalimudu bunge hakika
Lowassa mume wakoe!! Unaongea utadhani uko ******!!aende tu, aliniboa sana huyu, hana lolote. asante CCM kwa kumtimua kabisa mnafki sana yule. kila siku anazua visa tu kwa wenzie, utadhani yeye alikuwa msafi, akiletewa ngoma bungeni anawarudia aliowajeruhi kushirikiana nao kisha inazimwa (rejea ishu ya richmond) sasa huyu spika gani? mara ajijengee ofisi ya spika jimbini kwake urambo, utadhani alijhakikishiwa kuwa uspika utatoka urambo milele, kweli ule si ubadhirifu wa mali za umma? ilikuwa akili, au matpe kichwani kwake? amevuna lichopanda, na aende zake tu, tena wamemchelewesha sana, bora angevuliwa tu uanachama kipindi kle. bora sasa wametiletea makinda. huyu atalimudu bunge hakika