MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,094
- 7,218
Ina maana huyo uliyemtaja siyo "potential appointee?" Wa mkulu wa kaya.Uteuzi wa Wabunge kwa Wanaume Rais kamaliza zile nafasi 5 labda itabidi Bulembo ajiuzuru.
Ina maana huyo uliyemtaja siyo "potential appointee?" Wa mkulu wa kaya.Uteuzi wa Wabunge kwa Wanaume Rais kamaliza zile nafasi 5 labda itabidi Bulembo ajiuzuru.
............ kwenye hiyo kamati wengi ni rivals wake toka pale Department, amewapita kwa mbali sana kuanzia exposure mpaka maisha ya kawaida.
..... !!!!
Dr Kalemani anapandishwa kuwa waziri kamiliKufuatia Rais Magufuli kumtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo aachie ngazi kutokana na sakata la 'mchanga wa bandarini'.
Tutoe mapendekezo yetu wakuu ni nani anayefaa kumrithi maana hii Wizara ina changamoto siyo kidogo!
Leo nimemskia Rais aki dought u Prof. wa mtu flani!!Hii ni nafasi ya mbunge yeyote mwenye PhD
Na hizo pesa zilizopotea sio matusi kwa Taifa? Kama alikuwa hafahamu si angesema hajui! Kwa nini aseme uongo? Tena raisi wangu kampatia neno zuri kuliko ZUZU.Sijui ndo Huyu?
Ila Rais amekosea kumtukana aliekuwa Katibu Mkuu wa Wizara yake kwa Matusi yale,Eti Ana stupid Answer Mara anasaliti Taifa wakat kasomeshwa bure na blaa blaaa kibao, amewavunjia heshma kwa Yale Matusi
Huyu kashindwa majambazi wasomi hawaweziChe Mwigulu Nchemba. Anaweza kuimudu wizara ya madini, naona kama ana ka ujasiri flani.
Na hizo pesa zilizopotea sio matusi kwa Taifa? Kama alikuwa hafahamu si angesema hajui! Kwa nini aseme uongo? Tena raisi wangu kampatia neno zuri kuliko ZUZU.
Ivi inawezekanaje mwanawani waziri aondoke naibu abakie...si wote walikuwa ofisi moja..au sielewi vizuri majukumu yao...haiingii akilini kwamba waziri pekee ndie anajua kinachopikwa jikoni leo na naibu hajui...'Most probably' atakuwa Naibu wake Dr. Medard Kalemani.. Ameshapata uzoefu, anayajua makandokando ya mikataba ya madini na anatoka ukanda wa madini..
Huyo Prof ni mpare kama sijakosea...haya mengine ni maoni yako na una haki ya kusema kile unacho amini..ila kwenye kaya yetu watu wanapewa vyeo kwa kuzingatia taaluma zao na uzoefu wao na si vinginevyo.na daima tuachane na kasumba za kutazama watu wanaoteuliwa kwa misingi ya dini zao,kabila lao au ukanda.tuipende nchi yetu kwanza..na tuwakatae watu wote wanaotaka kutugawa kwa misingi ya kabila,dini au ukanda..Mungu ibariki Tanzania..Hilo ni wazo: Tatizo Raisi wetu yuko biased na Waislam pamoja na Wachagga. Hilo linadhihirika katika teuzi zake nyingi. Pengine na kama anavyosema yeye kuwa walimwombea sana Kanisani. Anasahau kuwa Waislam pia walimwombea na kumchagua kwani Lowasa alishaonyesha sura yake Rasmi kwenye kampeni kuwabagua waislam.
Ifahamike kuwa katika Imani ya kiislamu Mwenyezi Mungu anataka watu wafanye Uadilifu kwa yeyote hata kama una chuki naye hilo lisikufanye kutotenda haki. Ile hofu ya mungu ipo. Ukichanganya na mapenzi ya nchi Magufuli anaweza kupata watendaji wengi wazuri ikiwa atajaribu kuweka balance.
wale washauri wake wa karibu wamweleze haya. Ona sasa wateule wake anaowakumbatia kwa sababu zake binafsi wanavyomwangusha kuanzia tume ya madini, Bodi ya Madini, wakala wa TMAAA, katibu wa madini mpaka na waziri. NI AIBU SANA KWAKE!
Kipofu hatayaona mawazo yangu (kwa kuwa system inam-favour) lakini wachache wenye uoni wa kinachoendelea watayaona haya.
hesabu janga la taifa. tukija kustuka tutajiona upuuzi wetuHivi ni kipi kilichofanya amteue mtu aliyetoka kwenye kashfa ya ufisadi?..amwache tu aendelee au awe mwenyewe akiona makonda anafaa sawa maana anaweza pia kumteua mbunge aliyemteua akawe balozi kama kawaida yake.
Halafu yeye akikosolewA tuuu,povuuuuu
Prof. Lipumba anafaa kumrithi Prof. Mu..ongo.Kufuatia Rais Magufuli kumtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo aachie ngazi kutokana na sakata la 'mchanga wa bandarini'.
Tutoe mapendekezo yetu wakuu ni nani anayefaa kumrithi maana hii Wizara ina changamoto siyo kidogo!
prof mruma