Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,798
- 156,930
Suluhisho ni kupitia upya mikataba na sera ya madini, vinginevyo hata Malaika hawezi kuiongoza wizara hiiHiyo Wizara igawanywe mara mbili
1. Wizara ya Nishati
2. Wizara ya Madini
Kila moja ijitegemee