Nani kumrithi Waziri wa Nishati na Madini Prof. Muhongo?

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,682
22,685
Kufuatia Rais Magufuli kumtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo aachie ngazi kutokana na sakata la 'mchanga wa bandarini'.

Tutoe mapendekezo yetu wakuu ni nani anayefaa kumrithi maana hii Wizara ina changamoto siyo kidogo!


 
Back
Top Bottom