Nani kugombea urais 2015 Tanzania kupitia CCM?

Nani kugombea urais 2015 Tanzania kupitia CCM?

Hakuna mgombea uraisi alie makini ndani ya CCM.
Wote ni walewale ukoo wa panya na hata EL hato badili chochote kwa sababu ya nature ya viongoz wa CCM
 
Liache hilo zee gonjwa fisadi likapumzike Monduli

Gonjwa mama yako lete hiyo kunduru yako kama hujaomba poa sasa mmehama kwenye ufisadii mnakuja kwa ugonjwa rudisheni mafurushi ya Escrow mlizoiba kenge nyie mnamuogopa mmasai kwa wizi mloufanya atakuja kuzirudiisha kwa umma hata Muhongo mlimtetea kuwa hatajiuzulu lakini mlinyanyua mikono sasa Lowassa pia mnachinga ili mlinde wizi wenu hatudanganyiki sijui Maembe sijui pindo hapa habari ni lowassa hata vichaa wanajua mnajifanya hamuamini eti anahonga watu mkateni jina kudadeki muone kama hamjakuja kuikimbia nchi
 
Lowassa huwezi mlinganisha na wazembe kama pinda na Membe kwanza membe atuambie yaliko mabilioni ya gadafi na mchezo wa kumuua balozi wa Libya na dili la hela na akina shimbo yani hii kambi ndo mafisadi nyangumi wanaotaka kutuchagulia Rais walimde wizi wao ole wenu kudadeki
 
Maana kusema ukweli mpaka hivi sasa hatuoni mtu yeyote wala dalili yeyote kama ilivyokua wakati kikwete akitarajiwa kuingia na jinsi mambo yalivyo tight,sijui nani atafaa?
kama unajua tafadhali niambie

Kutoka ndani ya Lumumba..ni confirmed kwamba MAKONGORO NYERERE ndiye atakaye pitishwa na chama cha Mapinduzi..take it from me
 
Wana Jamii Forum naomba niwaulize na mnijibu kiufasaha kuna kitu mpaka sasa sikielewi kuhusu nani anayefaa hasa kuwa rais wa nchi hii mwakani kwani cabinet yote ya CCM kwa sasa inaonekana kuwa na dosari na hata ukikuta asiye na dosari basi uwezo wake ni mdogo najua tunawafahamu wanaodhaniwa sasa kama wasomi ambao ndio sisi sote nani atatufaa ki ukweli.

Mtu anayefaa kuwa rais ni mtu ambaye kwanza anatambua kuwa Tanzania ni familia na kwa kuwa anataka kuwa baba wa familia hii basi hana budi kujitolea kwa kukikana hata kivuli chake ili kulinda maslahi ya familia hii Tanzania.
 
Tunahitaji sera zenye matendo
 

Attachments

  • 1427029995369.jpg
    1427029995369.jpg
    51.3 KB · Views: 167
Inamaana hamjui MH.JOHN MAGUFULI huyo ndi anafaaa uraisi maana anamsimamo wa kutosha na haogipi mtu
 
Angalien alieikomboa tanzania kutoka kwawkolon n nan na alitoka chama ghan kuinyinma ccm kura yako n kuidharirisha taifa
 
Jamaani nasikia kelele sana ktk kila media za sauti,tunona picture za kuchosha ktk media za kuonyesha.Na tunakutana na uchafu mwingi sana ktk media za kuandika sijui mwana CCM gani na gani anataka kuwa rais,sijui ndie pekee anaweza kuwa rais..NINGEPENDA WENYE HOJA WAJE TUAMBIA KM KWELI HILI BUNGE TULILOLIONA KUNA MWANA CCM ANAWEZA HATA JARIBU SOGEA KTK URAIS?NATO HATA OFFER KWA UDSM,NA WANA CCM WENGINE km kuna mtu wa kuwa rais wa hii nchi.Tuache mizaha jamani.Tuleteeni ushahidi kwamba hawa jamaa wa ..wa makelele..km wataweza toa rais ..kwanini wapinzani waambiwe hawawezi ikulu?NAWEKA HII CHANGAMOTO HAPA ...mods mtusaidi kuicha hii thread km ili ya PHDs na Maprof wetu..walioshindwa jitetea hadi leo.
 
Back
Top Bottom