Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
heee... kwani maana yake nini??? mwalimu wangu wa kiinglish alikuwa ananchapa kweli.. so nilitokea kulichukia sana hilo somo... hebu nambie maanaake!!!
Hahahahahahahaha
tafsiri ya neno moja moja!
Huyu MziziMkavu anajua sana kiswahili ngoja nim pm aje hapa atoe tafsiri halisi.
Hapana ! Ni ndugu yake Filipo !kuna member humu anaitwa Kiherehere. Ni ndugu yako?
Ameachika zamani sana, hujasikia sahivi yupo kijijini kwao analima?
helo marafiki ndugu na jamaa wa chit chat... Nimepotea sana pande hizi. But i hope hatujasahauliana bado.
kuna member humu anaitwa Kiherehere. Ni ndugu yako?
helo marafiki ndugu na jamaa wa chit chat... Nimepotea sana pande hizi. But i hope hatujasahauliana bado.
hatuna undugu..... nimefika kukanushakuna member humu anaitwa Kiherehere. Ni ndugu yako?
Ameachika zamani sana, hujasikia sahivi yupo kijijini kwao analima?
mimi huyu huyu.....au......?
nilisikia fununu kuna mtu anammendea my bebii.......sasa ndio naanza kupata tashwishwi.......
khaaa!......hata wewe....?
...bora my bebii..umejionea..mie naweza tafuta mutututakuja tupige mtu mkuki wa nanihii ndio atajua......na mkuki wetu si unajua tukitaka kuurusha tunauelekezea wapi......
haya JF Senior Expert MemberChalii angu ungeendelea kupotea Bana, manake nilitaka nitangaze Msiba halafu nipige Pesa za Rambirambi Fasta..