Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Habari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka