Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,515
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Yes, kuna uwezekano wa kuijua tabia ya mtu kupitia mwandiko wake. Lakini ni kwa asilimia kadhaa
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Mimi ulozi
FB_IMG_1698766006747.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom