Kwa wale walio singo, unamtamani nani humu angekuwa mwenza wako?

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,482
40,495
Binadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu.

Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku tunabaki na maumivu yetu.

Aya mlio singo, fungukeni; mngependa kuwa na mahusiano na nani humu?

Ukiona aibu shauri yako; waswahili wanasema mficha nini sijui hazai! mtamalizia wenyewe.

Karibu kwa chat!
 
Binadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu.

Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku tunabaki na maumivu yetu.

Aya mlio singo, fungukeni; mngependa kuwa na mahusiano na nani humu?

Ukiona aibu shauri yako; waswahili wanasema mficha nini sijui hazai! mtamalizia wenyewe.

Karibu kwa chat!
Nikikutajia uhakikishe unakwenda kumfikishia ujumbe, siyo kutujaribujaribu halafu unatuacha tunateseka

Mimi ni admirer wa Mamndenyi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom