kiboko yangu ni The secretary tu basi,akininyima nyam nyam nachanganyikiwa hata jf siingii.
my ex,umeanza lini kuhonga wanaume?
hahaha! nimedelete wifi, by default inasomeka Vin Diesel ndio akupeleke huko.
sweetlady huyu mkaka pamoja na makeke yake bado uko naye tu?
sema shem langu la ukweli,mambo?
hebu cheki li avatar la bishanga,dah,linanuka hela!
ole wake m chit chat yeyote nimkute karemba avatar yake ifanane na ya bishanga,na la ikitokea nitanunua u diamond member ( sh milioni kumi kwa mwaka) na atakayenifuata huko nahamia platinum member (sh milioni hamsini kwa mwaka) na mkinifuata huko basi nitakanunua kaseva kote ka jf kisha nimpe The secretary awe anasevia mistari ya mapenzi ninayomtumia kila kukicha...kudadadadadadeki bilionea la kihaya hoyeeeeeeeee!!!!!!!!!