Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,635
Ni hiviii. Watanzania wengi ndivyo tulivyo kwenye kila kitu. Yaani mtu asipojua jambo basi anafikiri jambo hilo halipo duniani na anavyoona yeye inafaa basi watu wote waone inafaa. Ngoja nitoe mfano mmoja ambao najua utawakera baadhi ya watu lakini ndivyo ilivyo.Hivi kwanini watu wanakereka mtu akiweka uzi wake? Ulitaka apost picha yako wewe? Au picha ya mkeo? Wanaume wazima mnatokwa povuuu. Au mnadhani hili jukwaa la dini. Mnaboa sana kupangia wenzenu cha kupost as if mnawawekea nyie bundle. Kitu cha mtu kinakukwaza pita pembeni usicomment sio kuja kuandika kama vile we babake. Wote wazima humu tunajua tunachofanya.
Halafu wengine kujitia kuandika ufala humu mnakuja pm kuandika pumba zenu endeleeni.
Kwa hapa kwetu Tanzania wengi wanajua kuwa ni haki yao na siwa kabisa kuwa wanaCCM lakini miyoni mwao wanaona wanaokuwa wanaCHADEMA hawana haki ya kuwa huko au kwa upande mwingine mtu anaona yuko sawa kuwa mwanaCHADEMA lakini rafiki yake hakuwa sawa kuwa mwanaCCM