Nani huyu jamani

Kabla ya kumwaga povu zao wawe wanaweka sura zao kwanza
 
Mkuu unataka kuniona live? Tatizo tunaogopa humu wanaume wa humu akikuona tofauti na mawazo yake alivyokufikilia anakuja kukuanzishia mthread ana sura mbaya anatisha
Kama utakuwa jini mwenye pesa sitakuanzishia mthread[emoji7]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] au hivyo viwanda sisi tulimchagua huyo mzee wao wa viwanda life's too short fanya unachoona kinakufurahisha na kukupa amani ya moyo
Sijawah kuomba kura nikasema ntaleta viwanda wala sijui manini,,wanitue babu nna amani kabisa kuna watu kama watatu wananipa raha sanaa akiwepo docta pia nasahau karaha kabisa
 
Mi bwana sura sio shida kama ana akili na ana hela ntampenda. Napenda sana wanaume wenye akili na wenye sura nzuri kidogo. Sura ngumu siwezii. Mi mbaya bwana mbaya nae wa nini.
Mimi awe mzuri tu hela sitaki tutazipata tu,akiwa nazo poa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…