Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
Naona kuna muarabu hapo sijui ndiyo boss na hao wachapaji ndiyo wanatafuta sifa kwake.
wa Base/task force, m.kocheniNimemtambua mmoja, siyo wale wa central, ni idara nyingine
Statistics Statistician_ msiwe mnafanya hivi vitu haipendezi, mnachukua na video kama hivi zitawaharibia kazi,Ukimsikiliza anaepigwa inaonekana ni jamii moja na wanaompiga
kikosi maalum nadhani)taskforceBasi hawa watakuwa vituo vya kitongoji vitongoji wale!
Kwangu anipi option ya chrome...Tumieni chrome browser mbona safi tu
Taratibu tutafika kwenye zama zetu za “Unanijua mie ni nani wewe?” Inapigwa simu moja tu unalundikwa ndani 😂😂😂 wacha wananchi waipate ile power ya pesa chafu!kikosi maalum nadhani)taskforce
Funguwa jamiiforums.com kisha login kwa kutumia chrome broswerKwangu anipi option ya chrome...
Nimecheka kama mazuri loh!Atachomokaje mbele ya mbavu nene na kimwili chake chaki Daz Baba😅😅😅
Ukifungulia simu yenye app inagoma inakurudisha kwenye app labda ufungulie device nyingineFunguwa jamiiforums.com kisha login kwa kutumia chrome broswer
Futa app kama inazinguaUkifungulia simu yenye app inagoma inakurudisha kwenye app labda ufungulie device nyingine
Ila huyo anaeteswa isiwe ni wale "TUMA KWENYE NAMBA HII" au alijifanya ni afisa wa kitengoTaratibu tutafika kwenye zama zetu za “Unanijua mie ni nani wewe?” Inapigwa simu moja tu unalundikwa ndani 😂😂😂 wacha wananchi waipate ile power ya pesa chafu!
Ofcourse ndiye kesi itakuwa ya hivyo hivyo sindio maana anaruka kimango anataka apigiwe simu mwengine ambaye ndio aliyetuma sms ya kiduanzi. Wameanza kumcharaza yeye kwanzaIla huyo anaeteswa isiwe ni wale "TUMA KWENYE NAMBA HII" au alijifanya ni afisa wa kitengo
Jamaa wanapiga kama wanaua nyokaNi nani huyu anaepigwa hivi? Amekosa nini? Kwanini wenye kumpiga wanasema "atatuharibia kazi" kazi gani? Na ame' post neno "kimeumanaaa" wapi? Ndiyo kosa lake? Anaefahamu kisa hiki atusaidie, tufahamu. Namba za gari ni T 777 BWS.
View attachment 1849488