Mimi namng'ata mtu shingoni. Bora nipewe murder case.Mimi MTU hawezi kunipiga hivyo ,over
Si amrukie mmoja amng'ate sikio aondoke nalo
Nguvu iyo utaitoa wapi?Mimi namng'ata mtu shingoni. Bora nipewe murder case.
Mikwaju interchange unaweza kuta chalii ni mwizi sema kaingia cha kike! Ponjoro kavuta waya Central
Kabisa mkuu unakuaje mnyonge kiasi hicho.Mimi namng'ata mtu shingoni. Bora nipewe murder case.
Ila sio fair kabisa aisee...!
Hayo ndiyo baadhi ya matokeo ya nchi kuongozwa bila katiba wala sheria.Hakuna alie salama.Tumefika pabaya sana nchi hii
Mbona wanapiga kama mbwa, kama wanataka kumuua wangemlenga tu kwenye paji la uso.......ubinadamu kazi.
Itakuwa ni wale ambao... Walikutana na dhoruba barabarani....Jaribu kutuulizia hilo tukio lina husu nini,yaani tupate ukweli juu ya hilo tukio.
Kuna mmoja hapo kama mdosi hivi anatalii talii na simu, labda ni gabachori amelipia hudumaHii picha akiiona Mama, kuna mtu hana ajira. na ni rahisi kuwatambua wote kwa sababu Namba ya gari iliyopark inasomeka vizuri
Unafanya mkuu mi nashindwa kufungua picha siku zoteTumieni chrome browser mbona safi tu
Sijawahi kudownload APP ya JF zaidi ya kutumia browser search Tu..Tumieni chrome browser mbona safi tu
Login jf kwa kutumia chrome broswer unaperuzi safi na pia inafungua picha bila tabu!Unafanya mkuu mi nashindwa kufungua picha siku zote
Unatumia browser ganiSijawahi kudownload APP ya JF zaidi ya kutumia browser search Tu..
Sioni sababu ya kubebesha mzigo Mkubwa na kupunguza space ya simu Kwa kujaza app
Hili tatizo linatusumbua wengi tunaotumia App.Mods kwa nini siwezi kufungua videos na ni kwa muda sasa
Nahitaji msaada wa haraka sana.