nguma manyonya
Member
- Oct 4, 2015
- 55
- 55
Bigup chadema hakika kuna vichwa kuliko magamba
Hivi September mosi kuna nini?Ingieni tu barabarani September Mosi. Mbwembwe za nini?
ikumbukwe kuwa nia na mazumuni ya UKUTA ni kuwafikishia wananchi kile ambacho chadema wanakiamini kuwa mkuu wa kaya anavunja katiba ambayo alihapa kuitetea na kuilinda.
joined Aug 9, 2015Maskini wee wananchi wa Tanzania hawahitaji kufikishiwa ujumbe wa UKUTA au wa Katiba mahitaji makubwa ya wananchi ni kufikishiwa maendeleo.Wapate maji safi,huduma bora za afya elimu bora na kuondokana na Umaskini.Mkakati wa CHADEMA umeshindwa kuwafikia wananchi kwa kile wanachokitaka.Kaulize hata mijini UKUTA ni kitu gani hawakielewi lakini waulize kuhusu madawati watakwambia wanetu sasda hivi hawakai chini.Uliza ELIMU bure watakwambia sasa hivi watoto wanaandikishwa bure hatulipi chochote.
CHADEMA wako nyuma ya wakati watu wanahitaji maendeleo sio maneno ya Porojo sijui UKUTA sijui BUnge LIVE,Sijui MABALOZI wa nje hawana uhuru wa kutembelea watu kiholela,sijui uhuru wa kuchonga sana midomo na kuongea kama huna breki haupo.!! Hayo mambo ya kijinga si mahitaji halisia wanayohitaji wananchi ndio maana UKUTA mitaani umekosa washabikiaji .Washabikiaji wengi wako mitandaoni na ofisi za makao makuu ya CHADEMA
Hivi September mosi kuna nini?
Sasa nyinyi ccm shida yenu mke wa mtu Mombasa ndio mnamtuma kutowa matamko ya kilevi eti uvccm waandamane.
Stupidity.
Kumbe wewe ni polisi? basi kuanzia leo ntakuwa sikushangai tena...Hakika nawasubiri kwa hamu sana. Bahati mbaya sana huku kwetu Songea watu wameshaachana na CHADEMA. Ningewatandika ile mbaya
Chama cha siasa ni ubunifu. Ubunifu ulio maarufu. Kubuni ni jambo moja,kufanikiwa ni jambo lingine. Kubuni ni kuonesha uhai wa fikra za viongozi na wanachama wao. Kubuni nako ni siasa.
Kati ya vyama vya siasa hapa nchini,CHADEMA ni wabunifu. Ingawa ukweli huo unaniuma hata mimi,sina budi kuusema. Ili nipate amani. Ni wao waliobuni operesheni mbalimbali za kichama. Ni wao waliotaja elimu bure na vita dhidi ya ufisadi kwa mara ya kwanza.
Wengi tumenufaika na ubunifu wao. Wengi tumeshughulika na mambo yao. Mwanzoni,nilidhani think-tank wao ni Dr. Slaa. Lakini,pamoja naye kuwaacha mkono ubunifu unaendelea. CCM tumechoka kukopi na kupesti. Tumechoka kudandia kwa gia hoja. Tumsajili think-tank wao atusaidie.
Ubunifu wao,kwakweli,unasumbua. Tuchangamke wasitufunike!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mazingira ya ushindani wa hizo timu yakoje? Kama refa anayechezesha ni shabiki wa timu mojawapo shindani unadhani kuna mashindano hapo?CHADEMA Wangekuwa wabunifu wangeshinda Uraisi.huwezi sifia kuwa timu fulani ni timu bora wakati haifungi magoli wala kutwaa kombe lolote kutwa ni kushuka daraja.
Acha huo wa Oktoba 2015, ongelea visiwani. Yaani ukigusia huko basi CCM wanakuwa wadogooooooooooo.kijana...!Kama uchaguzi ungekuwa fair , CCM ingeshinda wapi! Hujui kilichotokea October 2015?
Polisi watakarishwa down tena kwa nguvu kubwa na wananchi halafu jeshi la wananchi halitakubali polisi kuuwa wananchi ngoma draw Magufuli na Polisi Wananchi na jeshi lao tuone sasa nani mshindiHakika nawasubiri kwa hamu sana. Bahati mbaya sana huku kwetu Songea watu wameshaachana na CHADEMA. Ningewatandika ile mbaya
Hawajawahi kushindwa CCM inabebwa na tume na polisi na 2015 ndi mwisho wa kubebwaMazingira ya ushindani wa hizo timu yakoje? Kama refa anayechezesha ni shabiki wa timu mojawapo shindani unadhani kuna mashindano hapo?
Mkuu mchelewa think tank wa chadema ni huyo mwenye shati jeupe katika pichaChama cha siasa ni ubunifu. Ubunifu ulio maarufu. Kubuni ni jambo moja,kufanikiwa ni jambo lingine. Kubuni ni kuonesha uhai wa fikra za viongozi na wanachama wao. Kubuni nako ni siasa.
Kati ya vyama vya siasa hapa nchini,CHADEMA ni wabunifu. Ingawa ukweli huo unaniuma hata mimi,sina budi kuusema. Ili nipate amani. Ni wao waliobuni operesheni mbalimbali za kichama. Ni wao waliotaja elimu bure na vita dhidi ya ufisadi kwa mara ya kwanza.
Wengi tumenufaika na ubunifu wao. Wengi tumeshughulika na mambo yao. Mwanzoni,nilidhani think-tank wao ni Dr. Slaa. Lakini,pamoja naye kuwaacha mkono ubunifu unaendelea. CCM tumechoka kukopi na kupesti. Tumechoka kudandia kwa gia hoja. Tumsajili think-tank wao atusaidie.
Ubunifu wao,kwakweli,unasumbua. Tuchangamke wasitufunike!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Huyo jamaa mwenye shati jeupe aliwaahidi kaja chadema na wezi wakura nyie mpige mkalale...saa 4 asubuhi mnashinda;Ccm ubunifu wao ni Wizi wa kura na kupora ushindi bila aibu
Kumbe ndo maana mmemnunua m/kiti wa cdm songea mmempa uenyekiti wa parokia?kweli huko hakuna tena mbunifu.Hakika nawasubiri kwa hamu sana. Bahati mbaya sana huku kwetu Songea watu wameshaachana na CHADEMA. Ningewatandika ile mbaya
Mkuu,Chama cha siasa ni ubunifu. Ubunifu ulio maarufu. Kubuni ni jambo moja,kufanikiwa ni jambo lingine. Kubuni ni kuonesha uhai wa fikra za viongozi na wanachama wao. Kubuni nako ni siasa.
Kati ya vyama vya siasa hapa nchini,CHADEMA ni wabunifu. Ingawa ukweli huo unaniuma hata mimi,sina budi kuusema. Ili nipate amani. Ni wao waliobuni operesheni mbalimbali za kichama. Ni wao waliotaja elimu bure na vita dhidi ya ufisadi kwa mara ya kwanza.
Wengi tumenufaika na ubunifu wao. Wengi tumeshughulika na mambo yao. Mwanzoni,nilidhani think-tank wao ni Dr. Slaa. Lakini,pamoja naye kuwaacha mkono ubunifu unaendelea. CCM tumechoka kukopi na kupesti. Tumechoka kudandia kwa gia hoja. Tumsajili think-tank wao atusaidie.
Ubunifu wao,kwakweli,unasumbua. Tuchangamke wasitufunike!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam