kijana...!Kama uchaguzi ungekuwa fair , CCM ingeshinda wapi! Hujui kilichotokea October 2015?CHADEMA Wangekuwa wabunifu wangeshinda Uraisi.huwezi sifia kuwa timu fulani ni timu bora wakati haifungi magoli wala kutwaa kombe lolote kutwa ni kushuka daraja.