Nani fundi zaidi hapa?

Nani fundi zaidi hapa?

uyo klistina mtoe apo kamfananishe na akina bale apo unatakiwa umuweke zizu
 
Kwa hawa watatu wa kwanza ni Gaucho, wa pili Ronaldo de lima na mwingine anamalizia namba iliyobaki
 
Da kiukweli gaucho ni noma ila gaucho huwezi kuwalinganisha na Ronado maana hao ni washambuliaji na gaucho alikuwa kiungo ila hata hivyo jamaa ni hatari sana
 
Wekeni clip za hao wengine tuwaone nao.
 
Back
Top Bottom