Kwa mtazamo wangu RAIS JK ameongoza kwa miaka 5 vitu alivyofanya ni hivi:-
MKAPA ALICHOFANYA NDANI YA MIAKA MITANO 1995-2000
Kama kuna mawazo yenu tafadhari you can add, MKAPA ALIFANYA VIZURI KULIKO JK KWA HII TATHMINI INGAWA NAYE ALIKUWA NA MATATIZO YAKE.
MAWAZO YANGU MUNGU AMULINDE KIKWETE AMALIZE MIAKA MITANO HII SALAMA ili tusonge mbele labda upinzani sasa utachukua kwa hali ilivyo sasa.
- Uhuru wa vyombo vya habari hii ana asilimia 80%
- Kupanda kwa bidhaa mara kwa mara
- Migomo isiyoisha
- kudanganywa na viongozi
- Mawaziri bomu esp wale wa viti maalumu
- Shule za kata pindi Lowasa yupo kwenye Uwaziri mkuu lakini baada ya pinda kuingia ndo ameshindwa kila kitu
- Udini umeingia
- Maisha kuwa magumu kwa kila lika, Umeme hali ni mbaya sana, Mafuta hali ni tete,
- Suala la Muungano amejitahdi
- Ameshindwa kuwatimua wanaomsaliti
- Kuporomoka kwa maadili katika kipindi chake cha miaka 5 ndani ya serikali
- Mikataba feki ya Umeme na TRL
- Air TANZANIA KUFA
MKAPA ALICHOFANYA NDANI YA MIAKA MITANO 1995-2000
- Miundo mbinu alijenga kwa asilimia 70
- Kubana uhuru wa vyombo vya habari
- Maisha kuwa sawa katika hali nzuri
- MME kufanikiwa
- Kujenga uwanja mpya
- TRL ilikuwa vizuri kwa 70%
- Umeme ulikuwa kwa 75%
- Uchumi ulikuwa vuzuri sana
- Hakuna migomo ya kila mara
- Viongozi kumuogopa mkapa
- Mkapa na mikataba feki ya madini ingawa hatukujua
- Mkapa alijitahidi suala la kutopanda kwa mafuta yalikuwa 800
- Alikuwa mkali
- Hakukuwa na malalamiko kama ilivyo sasa
- Kuuza NBC
- Kuuza NMB
- Kuuza Mgodi
- Ufisdi ulianza
- Ni tajiri na marafiki zake wote
Kama kuna mawazo yenu tafadhari you can add, MKAPA ALIFANYA VIZURI KULIKO JK KWA HII TATHMINI INGAWA NAYE ALIKUWA NA MATATIZO YAKE.
MAWAZO YANGU MUNGU AMULINDE KIKWETE AMALIZE MIAKA MITANO HII SALAMA ili tusonge mbele labda upinzani sasa utachukua kwa hali ilivyo sasa.