Wana jf nimekaa nikawa nina waza sana kuwa ni mtu gani atafaa kuwa waziri mkuu ktk serikali ya magufuri. Ambae itaifanya combination ya serikali ichape kazi vzr leteni suggestion zenu wakuu
Akishachaguliwa Ndio Tutaju, Au Kma Ni Mawazo Leta Majina. Alafu Sijui Kma Akichaguliwa Atakua Mchapakaz Au Atalewa Madaraka???!!!! Wapi Sugu??Wana jf nimekaa nikawa nina waza sana kuwa ni mtu gani atafaa kuwa waziri mkuu ktk serikali ya magufuri. Ambae itaifanya combination ya serikali ichape kazi vzr leteni suggestion zenu wakuu
Wassira anafaa ili mrudi mkalime.
Wana jf nimekaa nikawa nina waza sana kuwa ni mtu gani atafaa kuwa waziri mkuu ktk serikali ya magufuri. Ambae itaifanya combination ya serikali ichape kazi vzr leteni suggestion zenu wakuu
pinda!!!!Wana jf nimekaa nikawa nina waza sana kuwa ni mtu gani atafaa kuwa waziri mkuu ktk serikali ya magufuri. Ambae itaifanya combination ya serikali ichape kazi vzr leteni suggestion zenu wakuu
Kuna watu wanaota.... Kwa akili yako unafkiri Magufuli anaweza kuwashinda Ukawa.... Anyway subiri kesho dira za siasa Nchini zinabadilika
Punguza papara kijana, muda ukifika utamjua tuu haraka ya nini?Wana jf nimekaa nikawa nina waza sana kuwa ni mtu gani atafaa kuwa waziri mkuu ktk serikali ya magufuri. Ambae itaifanya combination ya serikali ichape kazi vzr leteni suggestion zenu wakuu
Mlija wa fedha za lowassa ulishakatwa kaka muda sasalowasa hawezi kumshinda magufuli hata siku moja,si upo....
hata slaa hawezi kufua dafu,nachokushauri jitahidi kuweka akiba huto tu hela unatopata toka kwa fisadi lowasa kwani baada ya oktoba mlija utakata..
Kinana jamaa yuko vzuri
We unawazungumzia Ukawa gani? Kama ni hao naowajua mimi umoja wao ulishavunjika kisa na mkasa ni uchu wa madaraka kati ya Dr. Slaa na Prof. Lipumba sasa wanawezaje kushindana na Tingatinga a.k.a jembe?Kuna watu wanaota.... Kwa akili yako unafkiri Magufuli anaweza kuwashinda Ukawa.... Anyway subiri kesho dira za siasa Nchini zinabadilika