Nani awe Waziri katika Serikali ya Magufuli

Nani awe Waziri katika Serikali ya Magufuli

gubegubekubwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2008
Posts
685
Reaction score
962
Wana JF, nimekaa nikawa nina waza sana kuwa ni mtu gani atafaa kuwa waziri mkuu ktk serikali ya magufuri. Ambae itaifanya combination ya serikali ichape kazi .

Leteni suggestion zenu wakuu

Katika social forums zote ni habari za kuponda kukashifu na kubeza maamuzi ya CCM na mwelekeo wa UKAWA kuelekea kutangaza mshika bendera!
MY POINT!

Iwe isiwe tuwepo tusiwepo lazima tupate rais 2015! iwe kutka CCM au UKAWA!

Kwa kuwa mpaka sasa ni CCM tu ambao wqmetangaza mshika bendera, sisi wana maficho kwenye social media tujadili sasa serikali tarajiwa ya MAGUFULI na baadae UKAWA wakitangqza wao tuanze kujqdili serikqli ya hyo mwenye matumaini yao huyo!

Mimi ninavyona AKIFANIKIWA KUCHUKUA NJI tinga tinga awe na serikal hii...

PM- Lukuvi/Mwakyembe

Madini-Makamba

Ajira-mimi (mbunge wa kuteuliwa)

Fedha- Nchemba

Ujenzi- Mpina

Uchukuzi- Filikunjombe

Ulinzi- Lugola

Afya- Kebwe

Utumishi- Mwanri

Wagombea hawa pia wanaangaliaga nao mitandao kupata ushauri siyo wakute negation tupu mitandaoni.

nawasilisha
 
Kusema ukweli mwakyembe pekee akiwekwa tutamshukuru saaana.....
 
kuna waziri wa CCM anaongea kwa kasi ya chereani na majibu yake ya Kuridhisha nimemsaaau jina but nahisi mwamri
 
Kama ni kuleta maendeleo itabidi asifuate majina na achague mbunge kijana mwenye vision kama Deo Filikunjombe na siyo waliochoka toka awamu hii. Huyo anatakiwa awe kiranja kweli na siyo kupewa cheo kama fadhila. Kama atapewa Membe basi Dr Kawambwa naye na jamaa wengine wa Mwenyekiti si itabidi wawepo tena. Halafu kutakuwa na maendeleo au kulindana? Naona ziingie sura mpya na mambo mapya ila wasianze kuangalia nyuma kutafutiana mchawi, wayaache yaliyopita na watu wake wasonge mbele.
 
Wana jf nimekaa nikawa nina waza sana kuwa ni mtu gani atafaa kuwa waziri mkuu ktk serikali ya magufuri. Ambae itaifanya combination ya serikali ichape kazi vzr leteni suggestion zenu wakuu
magufuli kashinda lini uchaguzi mpaka tuanze kujadili waziri mkuu wake last time i check uchaguzi ni October 25
 
Niaminini mimi,waziri mkuu katika serikali ya Magufuli ni Mwigulu Nchemba.
Reserve my words
 
Back
Top Bottom