Nani awe Waziri katika Serikali ya Magufuli

Nani awe Waziri katika Serikali ya Magufuli

binafsi ningependa lowasa awe waziri mkuu,, lakini haiwezekani kutokana na mkanaganyiko wa kisiasa ulioingia ndani ya chama,,, na hakika waziri mkuu atakuwa mwanamke na bila shaka ni ASHA ROSE MIGIRO
 
Kuna watu wanaota.... Kwa akili yako unafkiri Magufuli anaweza kuwashinda Ukawa.... Anyway subiri kesho dira za siasa Nchini zinabadilika

Lowasa ndio anaweza kuwashinda au sio mkuu???
Watu bwana na upambee
 
Urais wa magufuli utatoka wapi? Upepo mbaya sana ccm.
 
Ni dhahiri sasa kuwa kitendo cha madiwani wote wa Lowassa kuhamia chadema ina maana kuwa moshi mweupe wa ukombozi sasa umehamia chadema rasmi na kuondoka mikononi mwa 'KITENGO' ambacho hakimtaki rais kutoka kaskazini!

Hivyo, tunawasihi popote pale mlipo wafuasi wa Edward Lowassa tuungane wote kwa pamoja tukaimbe wimbo wa ukombozi ndani ya Chadema!

Mfuasi yeyote wa Lowassa atakayebaki katika chama cha kitengo sio mwenzetu, wote tumehamia rasmi chadema!
Karibuni sana tuimbe nyimbo za ukombozi, tuwaache ccm waimbe nyimbo za 'kitengo'!

Viva UKawa, viva Chadema!
 
Back
Top Bottom