1. Kazi huwekwa minimum requirements watu wanajipima na kuomba . . .. sio bahataisha sababu eti uwaziri hauna shule. . . .
2. Mawaziri kutokana na wabunge sikubali hata kidogo inawajaza viburi na kuwatenga sana na makatibu wakuu. . . .Waziri na katibu mkuu wawe "pure technocrats". . . . .Mambo ya waziri kumsujudia katibu mkuu wa chama NO NO. . . .imetosha!!!!
Thus, sifa zitategemea muundo wa wizara na serikali kwa ujumla wake. . . . .Division of labour and specialization at its best. . . mwenzetu sijui kada wa muda mrefu babake this mama yake that. . . . .NO NO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.