Nani arithi nini JF.. Nani arithi mikoba ya nani JF?

Nani arithi nini JF.. Nani arithi mikoba ya nani JF?

Mikoba yako ni mizito mno kuirithi Bora uondoke nayo mkuu
𝕻𝖆𝖕𝖆 𝕯𝖗𝖊𝖊𝖞🌴🧃 on TikTok.jpeg
 
Time is "makangability" (Time is making ability)

Waswahel wanasema WAKATI UKUTA na Jr anasema WAKATI SI MILELE

Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na si mpaka pale kwenye pepo ya dunia😭

Wahenga walisema.. Fainali uzeeni... Ujana maji ya moto... Sasa yameshapoa😩 hakuna kusimama dede tena! Inaogofya sana sana!

Anyway tuna damu changa.. Very active!
Nani ungependa kurithi mikoba yake!😀
Nani ungependa kurithi "tabia zake"🤣
Nani ungependa uwe reincarnation yake!

Kumbuka.. perception creates reality.....🔥View attachment 3588914
Umeshakuwa wewe achana na hizi mada haziendani na umri wako.
 
Back
Top Bottom