chai ya rangi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2026
- 1,039
- 3,084
Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na si mpaka pale kwenye pepo ya dunia😭Time is "makangability" (Time is making ability)
Waswahel wanasema WAKATI UKUTA na Jr anasema WAKATI SI MILELE
Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na si mpaka pale kwenye pepo ya dunia😭
Wahenga walisema.. Fainali uzeeni... Ujana maji ya moto... Sasa yameshapoa😩 hakuna kusimama dede tena! Inaogofya sana sana!
Anyway tuna damu changa.. Very active!
Nani ungependa kurithi mikoba yake!😀
Nani ungependa kurithi "tabia zake"🤣
Nani ungependa uwe reincarnation yake!
Kumbuka.. perception creates reality.....🔥View attachment 3588914
Wahenga walisema.. Fainali uzeeni... Ujana maji ya moto... Sasa yameshapoa😩 hakuna kusimama dede tena! Inaogofya sana sana!