Nani arithi nini JF.. Nani arithi mikoba ya nani JF?

Nani arithi nini JF.. Nani arithi mikoba ya nani JF?

Time is "makangability" (Time is making ability)

Waswahel wanasema WAKATI UKUTA na Jr anasema WAKATI SI MILELE

Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na si mpaka pale kwenye pepo ya dunia😭

Wahenga walisema.. Fainali uzeeni... Ujana maji ya moto... Sasa yameshapoa😩 hakuna kusimama dede tena! Inaogofya sana sana!

Anyway tuna damu changa.. Very active!
Nani ungependa kurithi mikoba yake!😀
Nani ungependa kurithi "tabia zake"🤣
Nani ungependa uwe reincarnation yake!

Kumbuka.. perception creates reality.....🔥View attachment 3588914
Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na si mpaka pale kwenye pepo ya dunia😭

Wahenga walisema.. Fainali uzeeni... Ujana maji ya moto... Sasa yameshapoa😩 hakuna kusimama dede tena! Inaogofya sana sana!
 
Kadri niwezavyo, si wamesema mwenye nacho huongezewa 😅
Okay
credits - @naturecutevibes.jpeg
 
Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na si mpaka pale kwenye pepo ya dunia😭
😅😅😅🙌🤐
Wahenga walisema.. Fainali uzeeni... Ujana maji ya moto... Sasa yameshapoa😩 hakuna kusimama dede tena! Inaogofya sana sana!
Huu ni ulongoooooo🏃‍♀
 
Time is "makangability" (Time is making ability)

Waswahel wanasema WAKATI UKUTA na Jr anasema WAKATI SI MILELE

Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na si mpaka pale kwenye pepo ya dunia😭

Wahenga walisema.. Fainali uzeeni... Ujana maji ya moto... Sasa yameshapoa😩 hakuna kusimama dede tena! Inaogofya sana sana!

Anyway tuna damu changa.. Very active!
Nani ungependa kurithi mikoba yake!😀
Nani ungependa kurithi "tabia zake"🤣
Nani ungependa uwe reincarnation yake!

Kumbuka.. perception creates reality.....🔥View attachment 3588914
Naomba mikoba shee, nina matumizi nayo.
 
Time is "makangability" (Time is making ability)

Waswahel wanasema WAKATI UKUTA na Jr anasema WAKATI SI MILELE

Kuna udumavu mkubwa kwa wakongwe.. Age go.. Natumai udumavu huo ni huku tu JF na si mpaka pale kwenye pepo ya dunia😭

Wahenga walisema.. Fainali uzeeni... Ujana maji ya moto... Sasa yameshapoa😩 hakuna kusimama dede tena! Inaogofya sana sana!

Anyway tuna damu changa.. Very active!
Nani ungependa kurithi mikoba yake!😀
Nani ungependa kurithi "tabia zake"🤣
Nani ungependa uwe reincarnation yake!

Kumbuka.. perception creates reality.....🔥View attachment 3588914
Natamani zaidi kua na tabia kama za Yesu Kristo, na hatimae niurithi ufalme wa Mungu gentleman,

na ni tamaa yangu kwa wadau wote wa JF, kuurithi huo ufalme wa Mungu 🐒
 
Back
Top Bottom