Nani aolewe?

Nani aolewe?

Kaka mkubwa sio watu wote hufanya hivyo ingawaje wapo baadhi huamini katika hiyo nadharia...

Huwa na wakaka/wadada kadhaa ambao mwanzoni huwa ni marafiki na baadaye huchagua mmoja kutoka hiyo pool ya friends



Huyu katuambia ni wachumba, means kawalipia posa na kuwavisha kishika uchumba...

Ngoja aje ajibu mwenyewe.
Shangaa sasa na wewe bwana hakimu.
 
Sikupenda itokee hivyo ni weakness zao zimenifikisha hapo! wewe toka uzaliwe eti mbele ya Mungu ni mmoja tu? au unamiliki kila mtu na kipindi chake?

Sio kweli kuwa sababu ni weakness zao tu,hata weakness zako zimechangia mfano umekosa uvumilivu na ukatafuta mwingine na mwingine,weakness nyingine hukuwaambia kila ulipoamua kutafuta mwingine ili wakuache na usingewamiliki wote.
 
Kwanza wewe huna maana unakuwaje na uhusiano na wanawake wote hao?
Pili hii ni ya kutunga
Kama sio ya kutunga,umeshindwaje kujua ni nani wa kuoa hapa basi nina wasiwasi na uwezo wa kufikiri wa akili yako!!!!!!!!!!!

Yawezekana neno kua na maana hukujua linatumika wapi? kuhusu nimekuwaje na wanawake wote hao mimi sikusema nina wanawake nimesema nina mahusiano na wasichana watatu! na nilitaka unishauri nani nimuoe? kama ulikuwa na maana ya kujua ilikuwaje mimi kuwa na wasichana wote hao:- ilikuwa hivi
Nilianza na kikojozi, mara nyingi nikawa sifurahii mchezo kwani nilikuwa nikiamka najikuta nimelowana na ukumbuke ni mkojo wa mtu mzima japo si kila siku ni kila anapo nitembelea ilinifanya kutafuta mbadala naye ndio tena hivyo nikakumbuka afadhari ya jana kuliko ya leo lakini niliamini ntapata mwenye nafuu naye kama nilivyo sema nimegundua yaweza kuwa heri ya leo kuliko kesho! nimuoe nani? ndio ujikite hapo nje na hapo uelewa wako unanitia wasiwasi!
Kuhusu stori ni ya kutunga mimi nasema hapana! kama huamini sina jinsi ya kubadili moyo wako!
 
huoni kama ntashindwa kufurahia tendo la ndoa, nitakuwa siwezi kumuandaa kabla ya tendo kwa sababu ya harufu mbaya hivyo ntalidhisha nafsi yangu tu na kumuingilia mtu bila kumuandaa hakuna tofauti na kumbaka!
Kwani huyo kikojozi anatokwa na mikojo saa zote..umepeleke akatibiwe lol au ni usiku tu?kama ni Usiku tu kwanini ushindwe kumuandaa...si atajiswafi tu bwana!
 
Sio kweli kuwa sababu ni weakness zao tu,hata weakness zako zimechangia mfano umekosa uvumilivu na ukatafuta mwingine na mwingine,weakness nyingine hukuwaambia kila ulipoamua kutafuta mwingine ili wakuache na usingewamiliki wote.

Nadhani umedandia gari kwa mbele! maelezo ya kumpeleka hospital yako page kadhaa ila kama mvivu wa kupitia majibu nilio jibu wenzako kuwa makini na haya!
Uvumilivu bila kulidhika moyoni ni unafiki tena mkubwa maana ya neno uvumilivu ni kujikaza hata kama huridhiki unamaanisha akiuliza unanipenda hivi nilivyo nimjibuje nakuvumilia? au nimdanganye? Unafikiri kwake nilihitaji nini zaidi ya penzi la kulidhisha nafsi yangu kama sijalidhika na nilicho hitaji au nakipata kwa mateso unamanisha nikubali kushindwa na kukubali uzembe wa kufikiri?
 
Kwani huyo kikojozi anatokwa na mikojo saa zote..umepeleke akatibiwe lol au ni usiku tu?kama ni Usiku tu kwanini ushindwe kumuandaa...si atajiswafi tu bwana!

Kikojozi tatizo lake ni la usiku tu na hasa tunapo lala mida ya saa 9/10 napoamka kupiga mambo najikuta nimelowa unadhani utakuwa na hamu ya kufanya mambo tena?
 
huoni kama ntashindwa kufurahia tendo la ndoa, nitakuwa siwezi kumuandaa kabla ya tendo kwa sababu ya harufu mbaya hivyo ntalidhisha nafsi yangu tu na kumuingilia mtu bila kumuandaa hakuna tofauti na kumbaka!

Sasa ivi umewezaj
 
Kumiliki tu hao watatu tayari wewe ni PLAY BOY,utakuwaje nao watatu alafu iwe kawaida??Hilo jina la Lover boy tayari unalo kwa hiyo usilihofie kabisaaa,wewe tafta mwingine tofauti na hao.
Hapa tunaangalia nia yangu wakati natafuta kila mmoja ilikuwa ipi? hakuna niliye mhitaji ili nimchezee namaanisha play boy unaibadilishia maana sasa! si kawaida kuwa nao watatu najua ndio maana tunaijadili na hakuna mahala nimekwambia ni kawaida au hukusoma vizuri toka mwanzo? jina la lover boy naamini sina hata kidogo lover boy linatokana na kupenda sasa nani unaona moyo wangu umempenda nani kati yao mpaka siko tiari kumuacha?ili niitwe lover boy? au mkuu neno lover ni tatizo!
 
Rafiki kwakua umeomba ushauri basi nitakupatia kama ifuatavyo:
1. Mdada wa kwanza anafaa kabisa kuoa kwani ugonjwa huo unatibika, hata kama itashindikana kupona unatakiwa kuwa rafiki wa pampasi au nepi, vinginevyo uwe unalala kidogo na kushituka ili umpeleke kukojoa kila wakati. ikitokea kasafiri mpe pampasi au umshonee chupi yenye karatasi kwa ndani ili mkojo usivuje.
2. Mdada wa pili hakika atakuumiza kichwa maana uongo huwa hauna tiba, hata hivyo uongo huleta mafarakano, huvunja mahusiano baina ya ndugu, marafiki na jamii kwa ujumla.
3. Mdada wa tatu ni mzuri kwani ugonjwa wake unaweza kutibika, ila kwakua ni wa wastani hivyo anazidiwa na yule kikojozi, hata hivyo harufu ya mdomo+kwapa utakosa raha kabisaa hasa wakati wa chakula cha wanandoa.

Naomba uoe kikojozi ndugu yangu mambo yote yatakaa vizuri.
Mko wachache mnaoweza kujikita kwenye mada! japo demu uliye opt ni muoe ni ngumu kidogo ila kwa uchambuzi huo nadhani ushauri wako ni mzuri! Nimeamua kuwa rafiki yako!
 
Kabla ya kulala pia ipo poa itakuwa hajamwaga kojo bado!

Sure japo ratiba zatu mara nyingi kama siku mmoja wetu amechoka huwa ni saa 9 hadi 11 na nusu ndipo hapo ile unashituka unjaikuta baharini unavua samaki mahala walipofia fisi maji harufu ya kufa mtu!
 
pampers zinazuia mkojo kwa 100% na hata haja kubwa akijisikia kuachia kitu kitandani bado hakuna kitakachoharibika,afu unamwamsha mapema saa 11 kuweka mambo sawa,sema hapa changamoto ya harufu ya haja kubwa inaweza kubadili hali ya hewa chumbani.
Ushauri gani huo sasa unajikinzana? pili unanukuu na kujadili nje ya nukuu maelezo haya
"Vipi tukipata dharura tukalala Hotelini au tukasafiri na kuwa wageni wa jamaa au rafiki wa karibu tukalala huko au yeye akapata dharura na kwenda kulala kwa ndugu au jamaa/rafiki inakuwaje sasa? huoni hiyo wasiwasi itanisababishia madhara kisaikolojia na kupunguza radha ya ndoa?"
Uliya nukuu ya nini upate pa kuandika au? Changamoto uliyo iweka na mchango wako huo ndio ulizaa maelezo yangu ulio nukuu tena una rudisha ya mwanzo imekua mdwara? vijana mnafurahisha sana! huo mchango wako ndio majibu yake hayo yenye red colour japo mtu wa kwanza hakuniondezea changamoto!
Nikujibu vizuri katika maelezo yako, sikia mke huwezi kumuoa mtu kwa kumuonea huruma kwanza naomba hilo uelewe ni kwa kumpenda lakini pia nivema ukalidhika na mwenzako kabla ya kuoana, unaweza kukubali kubeba mzigo huo kama amekutwa na tatizo ndani ya ndoa kama unambeba ukilijua ni uvivu wa kufikiri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom