ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,595
- 59,936
Kuna kitu watu wengi hawataki kukisikia… unaweza kuwa baba kibaiolojia lakini ukafeli kuwa baba wa mtoto wako emotionally.
Tumeona kisa cha Dudubaya na mwanae Wille kinatoa somo kubwa sana. Watu wengi wanaangalia upande wa drama tu, ila nyuma yake kuna psychology nzito. Mtoto akikua bila ile bonding ya baba tangu mwanzo, akija miaka ya baadaye ghafla unataka “full respect package”, mara nyingi chemistry inakuwa forced.Ni kama mtu hakulipia membership miaka yote halafu anataka benefits zote siku moja.
Watoto hawakariri DNA sana, wanakumbuka presence.
Nani alikuwa karibu akiwa mgonjwa, nani alimjua anapenda nini, nani alikuwepo kwenye life yake wakati wa moments za msingi.nani alimpeleka shule au kumnunulia viatu.
Ndo maana unaweza kuona wille anaishi kiurahisi na marafiki au “masela wa Coco Beach” kuliko mzazi wake mwenyewe, sababu huko anahisi freedom na acceptance kuliko mazingira ya kulazimishwa mapenzi.
Halafu stress zikizidi tunaanza kuona posts za usiku za dudubaya
“Simtaki”, “sio mwanangu”me nwanangu ni maria tu..ile ni frustationna stress kutokana na kilevi na hasira.kwa sababu dudubaya kwa sasa hv ni mgonjwa ilipaswa wille kijana wake ndo akae naye hapo bahari beach.. relationship nyingi za baba na watoto haziharibiki siku 1 zinajengwa taratibu..
Hata kwa Diamond Platnumz watu wengi hujadili kuhusu baba yake. Imagine kama kungekuwa na picha nyingi za utotoni, memories, outings, bonding na presence ya karibu… labda leo hii public perception ingekuwa tofauti kabisa.
Siku hizi watu wanaona kuzaa kama achievement ya haraka.
“Kijana mzima lazima uwe na mtoto.”Lakini nobody talks kuhusu school fees, emotional support, muda, attention, na consistency.mtoto anakuwa mkubwa hajawahi kuona ukimbembeleza akiwa ana hasira au ukimpiga akiwa kakosea
Tusizae kwa pressure za sifa au kuthibitisha uwezo wetu wa mbegu ..mbegu ziko okaya muda wote as long unakula proteins..” Mtoto sio screenshot ya ushindi wa usiku mmoja. Ukifanya makosa ya bahati mbaya, usiyageuze kuwa maisha ya bahati mbaya kwa mtoto ambaye hana kosa lolote.
Mwisho wa siku mtoto anaweza kusamehe umaskin akaona sawa zamani hukuwa na hela za kumnunulia atakacho lakini ni ngumu kusahau absence yako hukuwepo akiwa under 10 years..na kama akitokea amekutafuta ukubwani basi kasikia wewe uko taasisi nzuri au una miliki migodi na hotel au umekuwa mwigulu..
Tumeona kisa cha Dudubaya na mwanae Wille kinatoa somo kubwa sana. Watu wengi wanaangalia upande wa drama tu, ila nyuma yake kuna psychology nzito. Mtoto akikua bila ile bonding ya baba tangu mwanzo, akija miaka ya baadaye ghafla unataka “full respect package”, mara nyingi chemistry inakuwa forced.Ni kama mtu hakulipia membership miaka yote halafu anataka benefits zote siku moja.
Watoto hawakariri DNA sana, wanakumbuka presence.
Nani alikuwa karibu akiwa mgonjwa, nani alimjua anapenda nini, nani alikuwepo kwenye life yake wakati wa moments za msingi.nani alimpeleka shule au kumnunulia viatu.
Ndo maana unaweza kuona wille anaishi kiurahisi na marafiki au “masela wa Coco Beach” kuliko mzazi wake mwenyewe, sababu huko anahisi freedom na acceptance kuliko mazingira ya kulazimishwa mapenzi.
Halafu stress zikizidi tunaanza kuona posts za usiku za dudubaya
“Simtaki”, “sio mwanangu”me nwanangu ni maria tu..ile ni frustationna stress kutokana na kilevi na hasira.kwa sababu dudubaya kwa sasa hv ni mgonjwa ilipaswa wille kijana wake ndo akae naye hapo bahari beach.. relationship nyingi za baba na watoto haziharibiki siku 1 zinajengwa taratibu..
Hata kwa Diamond Platnumz watu wengi hujadili kuhusu baba yake. Imagine kama kungekuwa na picha nyingi za utotoni, memories, outings, bonding na presence ya karibu… labda leo hii public perception ingekuwa tofauti kabisa.
Siku hizi watu wanaona kuzaa kama achievement ya haraka.
“Kijana mzima lazima uwe na mtoto.”Lakini nobody talks kuhusu school fees, emotional support, muda, attention, na consistency.mtoto anakuwa mkubwa hajawahi kuona ukimbembeleza akiwa ana hasira au ukimpiga akiwa kakosea
Tusizae kwa pressure za sifa au kuthibitisha uwezo wetu wa mbegu ..mbegu ziko okaya muda wote as long unakula proteins..” Mtoto sio screenshot ya ushindi wa usiku mmoja. Ukifanya makosa ya bahati mbaya, usiyageuze kuwa maisha ya bahati mbaya kwa mtoto ambaye hana kosa lolote.
Mwisho wa siku mtoto anaweza kusamehe umaskin akaona sawa zamani hukuwa na hela za kumnunulia atakacho lakini ni ngumu kusahau absence yako hukuwepo akiwa under 10 years..na kama akitokea amekutafuta ukubwani basi kasikia wewe uko taasisi nzuri au una miliki migodi na hotel au umekuwa mwigulu..