Nani anaweza kusema kosa la Polepole?

Nani anaweza kusema kosa la Polepole?

baz kaiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
11,480
Reaction score
12,093
Polepole alikua anasema wahuni ndo kosa lake Je ni kweli wahuni wapo walikua wanachukia anayoyasema?

Kwa hiyo maneno ya Polepole yalikua yana Ukweli sio propaganda za kisiasa. Kama ni kweli polepole katekwa basi tunakubaliana Polepole yote aliyokua anasema ni kweli.

TANZANIA tuna safari ndefu sana Polepole pamoja kusema ukweli wote vyombo vya dola ndo vilitakiwa kufanyia uchunguzi kuhusu masuala aliyokua anasema Polepole lakini vyomba dola kimya viapo vyenu vyombo vya dola kwa ajili ya nchi sio kikundi cha watu flani nimesikitika kumbe hatuna Vyombo vya dola tuna vyombo kwa ajili watu flani inasikitisha sana. POLEPOLE kosa lake ni kusema jamani kuna wezi wa rasilmali za nchi mtu anayewaonyesha mwizi ndo anakua mtu mbaya hii imeishangaza sana baada ya kuitwa kupewa ongera kwa kua mzalendo kwa nchi yake ndo anageuka kua adui hivi viapo kwenye vyombo vya Usalama vijitafakali
 
Polepole alikua anasema wahuni ndo kosa lake Je ni kweli wahuni wapo walikua wanachukia anayoyasema? Kwa hiyo maneno ya Polepole yalikua yana Ukweli sio propaganda za kisiasa. Kama ni kweli polepole katekwa basi tunakubaliana Polepole yote aliyokua anasema ni kweli. TANZANIA tuna safari ndefu sana Polepole pamoja kusema ukweli wote vyombo vya dola ndo vilitakiwa kufanyia uchunguzi kuhusu masuala aliyokua anasema Polepole lakini vyomba dola kimya viapo vyenu vyombo vya dola kwa ajili ya nchi sio kikundi cha watu flani nimesikitika kumbe hatuna Vyombo vya dola tuna vyombo kwa ajili watu flani inasikitisha sana.
Kosa la Polepole ni kuusaliti mfumo aliokuwa anautumikia. Ukikubali kufanya hizo kazi inabidi uishi na siri hizo hadi umauti ukukute.

Ni wapi umewawasikia watanglizi wa hizo nafasi wakiropoka hovyo? Uliyoyaona kwenye mfumo ni siri ya mfumo
 
Polepole alikua anasema wahuni ndo kosa lake Je ni kweli wahuni wapo walikua wanachukia anayoyasema?

Kwa hiyo maneno ya Polepole yalikua yana Ukweli sio propaganda za kisiasa. Kama ni kweli polepole katekwa basi tunakubaliana Polepole yote aliyokua anasema ni kweli.

TANZANIA tuna safari ndefu sana Polepole pamoja kusema ukweli wote vyombo vya dola ndo vilitakiwa kufanyia uchunguzi kuhusu masuala aliyokua anasema Polepole lakini vyomba dola kimya viapo vyenu vyombo vya dola kwa ajili ya nchi sio kikundi cha watu flani nimesikitika kumbe hatuna Vyombo vya dola tuna vyombo kwa ajili watu flani inasikitisha sana.
Anaadhibiwa na mfumo alioutengeneza mwenyewe
 
Kosa la Polepole ni kuusaliti mfumo aliokuwa anautumikia. Ukikubali kufanya hizo kazi inabidi uishi na siri hizo hadi umauti ukukute.

Ni wapi umewawasikia watanguluzi wa hizo nafasi wakiropoka hovyo? Uliyoyaona kwenye mf
Sio kweli polepole hakuna document yoyote ile ambayo polepole amewahi release ya Jamuhuri zaidi ya blaa blaa ambazo hazina Ushaidi wowote sema alichosema polepole ni kweli hii ni wahuni ndo tutafakari
 
Kosa la Polepole ni kusema wale ni wezi mtu anayewaonyesha wezi wa mali za nchi huyo ni mtu mbaya?
 
Anaadhibiwa na mfumo alioutengeneza mwenyewe
1000066649.jpg
 
Kosa la polepole ni kutusanua kuhusu bei ya gesi nchini kyuba....
 
Polepole alikua anasema wahuni ndo kosa lake Je ni kweli wahuni wapo walikua wanachukia anayoyasema?

Kwa hiyo maneno ya Polepole yalikua yana Ukweli sio propaganda za kisiasa. Kama ni kweli polepole katekwa basi tunakubaliana Polepole yote aliyokua anasema ni kweli.

TANZANIA tuna safari ndefu sana Polepole pamoja kusema ukweli wote vyombo vya dola ndo vilitakiwa kufanyia uchunguzi kuhusu masuala aliyokua anasema Polepole lakini vyomba dola kimya viapo vyenu vyombo vya dola kwa ajili ya nchi sio kikundi cha watu flani nimesikitika kumbe hatuna Vyombo vya dola tuna vyombo kwa ajili watu flani inasikitisha sana. POLEPOLE kosa lake ni kusema jamani kuna wezi wa rasilmali za nchi mtu anayewaonyesha mwizi ndo anakua mtu mbaya hii imeishangaza sana baada ya kuitwa kupewa ongera kwa kua mzalendo kwa nchi yake ndo anageuka kua adui hivi viapo kwenye vyombo vya Usalama vijitafakali
Hana kama ilivyo tesha
 
Sio Africa karibia Dunia nzima kumbuka Jamal Kashogg.

Bob Marley
Malcom X
Nk

Ukiponda Wenye nguvu na kutoa Siri zao au kupitia kwenye maslahi Yao hauachwi salama.
Kabisa mkuu. Alichofanya Polepole kuanzia alipojiuzulu ubalozi ni kama alisaini hati ya kifo. No sympathises
 
Sio kweli polepole hakuna document yoyote ile ambayo polepole amewahi release ya Jamuhuri zaidi ya blaa blaa ambazo hazina Ushaidi wowote sema alichosema polepole ni kweli hii ni wahuni ndo tutafakari
Kama ni Blaa blaa zisizo na ushahidi kwa nini yale maneno asingeyasemea ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo?? Hebu shirikisha ubongo na wewe
 
Kosa la Polepole ni kusema wale ni wezi mtu anayewaonyesha wezi wa mali za nchi huyo ni mtu mbaya?
Unasema hakuna ushahidi halafu unarudia kusema kuwa kosa lake ni kusema wale wezi, sijakuelewa
 
kosa la polepole ni kujaribu kuweka wazi sababu za kifo cha magufuli...

kuweka wazi ufisadi wa rostam...

kuweka wazi makosa ya ccm kwenye uteuzi wa mgombea uraisi...

na mengine...
Alikuonyesha postmortem report ya kifo cha Magufuli?
 
Back
Top Bottom