Ninapigia mstari,chwaaaaaaa...Julius Mtatiro anafaa kuwa mwenyekiti wa CUF,apewe tu.
3.Ole SendekaHebu weka orodha ya viongozi wa ccm ccm hapa
1 Jk
2 kinana
3.
Zipo taarifa kwamba kambaya na mketo wanaongoza kampeni ya kumrejesha lipumba .Magdalena na Kambaya wamekekewa vyema
Mtatiro si wa kumuamini sana .Ninapigia mstari,chwaaaaaaa...
Kwanini haaminiki?Mtatiro si wa kumuamini sana .
Wana cuf wanayo majibu , kumbuka huyu alikuwa katibu msaidizi wa cuf bara lakini alijiondoa mwenyewe .Kwanini haaminiki?
Mketo hayupo kabisa katika hilo kundi.Ni Kambaya,Hamidu Bobali (mbunge wa Mchinga) na kundi kubwa lililoanguka katika kura za maoni.Zipo taarifa kwamba kambaya na mketo wanaongoza kampeni ya kumrejesha lipumba .
Mtatiro peke yake ndie mwenye utashi wa kubadilisha siasa za Cuf.Ni mkweli,mwenye kuthubutu na kuamini siasa za vijana kushika hatamu.Mtatiro si wa kumuamini sana .
Anaeweza kumrithi Pro. Lipumba ni Lipumba mwenyewe tu.Salaam Wakuu
Tumesikia Habari Za Kujiuzulu Prof.Lipumba, Mwenyekiti Wa CUF. Kujiuzulu Huku Kumetia Pengo CUF Na UKAWA ambalo linahitaji Kuzibwa na Mtu Mwenye Uwezo. Nani Anaweza Kuwa Mwenyekiti Mpya Wa CUF? Magdalena Sakaya, Julius Mtatiro, Jusa Ladu, Kambaya.
Nani Anafaa? Tutafakari