mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,291
- 798
duni anafaa sana
Babu Duni
Huyu ni mwanachama wa chadema.
Chadema historia itahukumu kwa kuchagua viongozi wabovu...mmemuweka Lowassa watu hawamtaki..bado tena mnataka kuchagulia CUF kiongozi?? Du!
Kama dhana ya udini iliyipo Chadema viongozi wote Wakirsto.
Dr. Slaa ndiye anayetarajiwa kuwa Mwenyekiti wa muda wa CUF kabla ya kufanyika kikao cha mkutano mkuu wa CUF utakaomuidhinisha rasmi kuwa mwenyekiti kamili wa chama hicho.
Kivipi mtafanya naye kazi?
Weka akiba ya Maneno
Chadema historia itahukumu kwa kuchagua viongozi wabovu...mmemuweka Lowassa watu hawamtaki..bado tena mnataka kuchagulia CUF kiongozi?? Du!
MhSalaam Wakuu
Tumesikia Habari Za Kujiuzulu Prof.Lipumba, Mwenyekiti Wa CUF. Kujiuzulu Huku Kumetia Pengo CUF Na UKAWA ambalo linahitaji Kuzibwa na Mtu Mwenye Uwezo. Nani Anaweza Kuwa Mwenyekiti Mpya Wa CUF? Magdalena Sakaya, Julius Mtatiro, Jusa Ladu, Kambaya.
Nani Anafaa? Tutafakari